paschal Burra
JF-Expert Member
- Jul 1, 2021
- 374
- 332
Hivi kwenye ukoo wako alimuua naniAtakumbukwa kwa mauaji ya kutisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwenye ukoo wako alimuua naniAtakumbukwa kwa mauaji ya kutisha.
Hivi kwenye ukoo wako alimuua nani
Hapo kwenye 50k na 1k. Unamaanisha nini au shilingi ngapi?Kuna mbunge mpumbavu alijisifu bungeni akisema bajeti yake kwa mwezi kwa ajili ya vocha ni 50k lakini mimi mwananchi wa kawaida bajeti yangu ya mwezi kwa ajili ya vocha ni 1k, nikipata sms za mwezi ndo imetoka hiyooooooo mpaka mwezi ujao na bado nikatwe kodi
Kmmke yule mbunge.
Jasmoni Tegga kazi imeanzaKwa kweli nisiwe mnafiki. Niliacha kupenda siasa toka baadhi ya wapinzani kuanza kuunga mkono juhudi za JPM. Marufuku ya siasa ikachangia pia. Utendaji wa hayati nao nikaupenda.
Kilichonifanya nisimpende Magufuli baadae ni hali ya mgawanyiko uliokuwa unaendelea nchini.
Haya ni Rais wetu JPM katangulia wapo waliofurahi na wapo waliosikitika pia.
Baada ya serikali ya awamu ya sita kuchukua hatamu na kuanza kufungulia mambo mengi yalifungwa na kurekebisha uhusiano na majirani, wapinzani, wafanyabishara na wafanyakazi kuongezewa mishahara,nchi ilikuwa kama umepata uhuru toka kwa mkoloni mweusi. Mama akapendwa na watu wote bila kuangalia itikadi yao.
Mara baada ya siku 100 kufika kauli yake kuhusu wapinzani na katiba mpya ikawatisha baadhi ya wananchi. Lakini bado hakupoteza mvuto.
BAJETI MPYA YA 2021-2022 YAMWARIBIA
Hapa ni lazima Hayati Magufuli akumbukwe na wote sababu alidaiwa kuwajali wanyonge zaidi kuliko matajiri. Bajeti iliyopitishwa na waziri wa fedha Mwigulu Lameck Nchemba ndio mtihani wa pili kwa Rais SSH baada ya dai la katiba mpya.
Huenda akaponzwa na waziri wa fedha lakini atabeba lawama yeye sababu yeye ndie alimteua na anaweza pia kumuwajibisha.
Je, kwa mabadiliko haya 2025 atatoboa?
USHAURI WANGU KWAKE
Pamoja na miradi mikubwa aliyokuwa amefanya mtangulizi wake haya maisha hayakuepo? Je kweli serikali imekosa chanzo kingine cha kuongeza mapata badala ya huduma zinazotumiwa zaidi na wananchi wa kawaida? Kwanini wasingebana kwenye vitu vya anasa kama alivyofanya Magufuli?
Je, ni Serikali kukamua wananchi kama njia ya kujiongezea mapato? Hakuna rasilimali zinazoweza kutumiwa kuiongezea serikali mapato?
Unaongea kama mbunge wa Ilala ama nani?Kodi ndo inayojenga nchi .kuna muda watanzania lazima tukubali tu kufunga mkanda
^Anafungulia nchi,^ au siyo!??? Bi Mkubwa anawapatia wafanyabiashara na vigogo wakubwa ^uhuru^ & ^suluhu^ ya kujimwayamwaya 🙂Jasmoni Tegga kazi imeanza
Mkuu hujasoma shule nini? Hilo neno ni common sana sikuhizi! K ni kiwakilishi cha kiwango cha elfu 1 ama 1000! Utakapoona namba yeyote ikifuatiwa na neno k basi zidisha hio namba mara 1000 ndipo utapata jibu halisi!Hapo kwenye 50k na 1k. Unamaanisha nini au shilingi ngapi?
Kabisa wananchi team lia lia muendelee kukaza mkanda kodi ya wazalendo!^Anafungulia nchi,^ au siyo!??? Bi Mkubwa anawapatia wafanyabiashara na vigogo wakubwa ^uhuru^ & ^suluhu^ ya kujimwayamwaya 🙂
Mwambie huyo jamaa, akamwambie huyo mbunge akawaambie wananchi wapiga-kura suala kama hilo wakati wa kampeni, halafu atuletee mrejesho.Unaongea kama mbunge wa Ilala ama nani?
Dhalimu mwendakuzimu ndiye alikuwa kamanda mkuu wa jeshi la wasiojulikana lililoteka, kutesa, kumiminia risasi na kuwapoteza Watanzania ambao hawakumuunga mkono na kwa uovu wake huo akapewa adhabu stahiki ya kupelekwa jehanum anakoteseka kama alivyowatesa wengine.Alimuua nani kwenye familia yako?
Atakuwa aliielewa kivingine, labda; kaharibiwa na mitandao huyu 🙂 🙂 🙂Mkuu hujasoma shule nini? Hilo neno ni common sana sikuhizi! K ni kiwakilishi cha kiwango cha elfu 1 ama 1000! Utakapoona namba yeyote ikifuatiwa na neno k basi zidisha hio namba mara 1000 ndipo utapata jibu halisi!
Kwa minajili hio 50k ni sawa na 50x1000=50,000
1k ni sawa na 1x1000=1,000
Pole sana najua alimpiga chini mjomba wako Bungara na wewe mwenye vyeti feki!Atakumbukwa kwa
1) Kuwanyima watumishi nyongeza ya mishahara na madaraja kwa miaka kibao
2) Kuwanyima watumishi wa umma haki ya kuhama
3) Kuwakatalia wanufaika wa bodi ya mikopo kuwaondolea VRF
4) Kwa ukabila aliokuwa anaanza kupandikiza
5) Kwa chuki za kisiasa zilizokuwa zimeanza kushamiri. Apumzike kwa amani Magufuli.
=Kwa hayo hatuta msahau
Mh Samia ni zaidi ya kijito cha maji jangwani, ametufuta machozi na kuanza kutuondolea makovu mioyoni.
Laki kwa mwezi mbona hela ndogo sana?[emoji23]Mtu mwenyewe wewe una faida gani sasa si bora umfuate Lisu tu,? View attachment 1854093
Sawa vyeti feki ulitegemea utadumu kwa nguvu za ndumba ofisini😂???Dhalimu mwendakuzimu ndiye alikuwa kamanda mkuu wa jeshi la wasiojulikana lililoteka, kutesa, kumiminia risasi na kuwapoteza Watanzania ambao hawakumuunga mkono na kwa uovu wake huo akapewa adhabu stahiki ya kupelekwa jehanum anakoteseka kama alivyowatesa wengine.
Kilaza tu! Hili neno ni common sana hata huko instagram wanakopenda lipo sanaAtakuwa aliielewa kivingine, labda; kaharibiwa na mitandao huyu 🙂 🙂 🙂
Hawa waghushi vyeti wanachuki sana na magufuliHivi kwenye ukoo wako alimuua nani
Mbunge si fisadi namba moja😅😅😅 halafu wanajiona wapo sahihi mno!Kuna mbunge mpumbavu alijisifu bungeni akisema bajeti yake kwa mwezi kwa ajili ya vocha ni 50k lakini mimi mwananchi wa kawaida bajeti yangu ya mwezi kwa ajili ya vocha ni 1k, nikipata sms za mwezi ndo imetoka hiyooooooo mpaka mwezi ujao na bado nikatwe kodi
Kmmke yule mbunge.
Na baba yakoHivi unataka nchi ijengwe na nani?