15 November ...snowhite alizaliwa!

15 November ...snowhite alizaliwa!

Dear snowhite,

Moja ya zawadi kubwa kabisa ambazo binadamu huweza kupata na akaikumbuka kwa siku nyingi ni "Recognition" Nimesoma post yako hii na napenda nikiri kwamba imenigusa sana. Si tu kwamba kwasababu nami nimetajwa humo bali kwa namna ulivyomtaja kila mmoja na kwa namna gani unamtambua na sehemu yake katika maisha yako.

Nashukuru sana partner and sister, na katika siku yako hii nakutaki kila la kheri, baraka na maisha marefu na Mungu aendelee kukuongoza katika kila lile utakaloligusa na kulifanya. Just remember you got friends, sisters and brothers who appreciate you and recognize you.

:smow:Happy Birthday Partner and sister snowhite:smow:

ahsante partner M'Jr yaah moja y vitu mama yangu alinifundisha ni kushukuru!
nafurahi kwa kuwagusa wapendwa wangu!
ahsante sana kwa wishes!
 
Last edited by a moderator:
Happy Day snowhite, may your days be filled with happyness n laughter!

I thank God for ur life!

ahsante sana mpenzi wangu Kaunga ,shukran sana kwa wishes zangu!
nashukuru sana kwa kuwa rafiki yangu!
LOVE YU girl!
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday my bestito shostito snowhite! I wish you to have the courage to live at least one more dream, fulfill one more wish and make one more person's life beautiful.

ahsante halalito,shostito,mpenzito,mamito mwaJ mimi penda sana wewe
 
Last edited by a moderator:
happy birthday my dear mke mwenza! we share 15th!! MAY OUR ALMIGHTY GOD PROTECT YOU AND GRANT U MUCH BLESSINGS IN THIS WORLD, AND FINALY WE MEET IN HEAVEN! much luv my friend!

lol!hili la 15th sidhani kama gfsonwin analitambua ,atatuoneaje dongeee!ahsante mwaya mke mwenza
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana mpendwa snowhite!


Mungu azidi kukubariki na kukupa maisha marefu zaidi! Hongera pia kwa miaka 17 ya ndoa lol. Nimekuonea wivu ati!
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana mpendwa snowhite!


Mungu azidi kukubariki na kukupa maisha marefu zaidi! Hongera pia kwa miaka 17 ya ndoa lol. Nimekuonea wivu ati!
ahsante mwaya ahsante sana sweetlady
ngoja nikwambie my dear ndoa yangu ina miaka 9 na kabla hatujaoana i dated the guy miaka 8 so mi huwa naiterm kuwa ni miaka hiyo manake hiyo miaka 8 ni kama ilikuwa hivo tu since we even had a baby ndani ya hicho kipindi!so being the case mi huwa naijumlishia tu mumo mumo!
 
Last edited by a moderator:
ahsante mwaya ahsante sana sweetlady
ngoja nikwambie my dear ndoa yangu ina miaka 9 na kabla hatujaoana i dated the guy miaka 8 so mi huwa naiterm kuwa ni miaka hiyo manake hiyo miaka 8 ni kama ilikuwa hivo tu since we even had a baby ndani ya hicho kipindi!so being the case mi huwa naijumlishia tu mumo mumo!
Hongera sana mpenzi! Keki ya birthday unibakishie kakipande manake ntachelewa kufika ukumbini!
 
Last edited by a moderator:
waoh! kumbe tunashea birthdate! namshukuru Mungu pia for this day kwani pia ni birthday yangu... kaka Erickb52 uko wapi leo?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom