15 November ...snowhite alizaliwa!


Hongera sana kwa kusherehekea siku ya kuzaliwa kwetu! Kumbe tumezaliwa tarehe moja! Hongera sana!
 
Last edited by a moderator:
Kitendo cha cacico kupigwa ban kime7bisha babu Asprin atokwe machozi.

 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Ahsante mwaya nimefurahi kwa kukugusa!usimoige chuni Paw gangamala nae mwenyewe utaona raha shosti wangu!
love yu sana gal!sana!
 
Last edited by a moderator:
Heri ya kuzaliwa mwalimu wangu snowhite! Una kila sababu ya kisherekea hii siku. Mi ntakuja na kreti mbili za biya Asprin atabeba konyagi tusherekeeeeeee!

Love u mwalimu! Uishi miaka mia nane!!
 
Last edited by a moderator:
Na maanisha ndoa itumike wakati wote kama ulikuwa utumii ipasavyo inabidi uongeze! Unaweza usitumie chakula lakini usipotumia ndoa ipasavyo ni case!
WA KUACHA KUITUMIA NDOA IPASAVYO NANI HAPA!?mie huyu?ahahahhahahhaha we nna njaa sifai !labda unipe case nyingine lakini hilo la kuitumia ndoa!lol natiii kiu yangu barabara!
shikamoo kwake mheshimiwa mume wangu!
 
Heri ya kuzaliwa mwalimu wangu snowhite! Una kila sababu ya kisherekea hii siku. Mi ntakuja na kreti mbili za biya Asprin atabeba konyagi tusherekeeeeeee!

Love u mwalimu! Uishi miaka mia nane!!
ahsante sana mwanafunzi wangu!
mimi love yu sana jamani,proud being ur mwalimu si wajua!
sema Asprin tu ndo anapiga kelele darasani vinginevyo ah!tushamaliza syllabus siku nyiingi!
akija na hizo nyagi uhakikishe umekuja na fimbo kabisa ili akileta tu fujo!tunatema mate tunamchapa
 
Last edited by a moderator:
May you live a 100 years with the same fun and attitude as you do now. Happy Birthday!
unakumbuka enzi zako??
 
ahahahahhahhahaa nilikuwa noumer weh!najikumbuka sana!kuna watu leo wakioniona nilivyo hubaki kucheka tu eti na ni nimekuwa mkubwa nina watot kabisa lol!

aahh kweli mi siamini kama mvi zimeanza kuota, maisha yanakwenda kasi mno.. natamani kweli nirudi niwe na miaka 18 nianze bata upyaa
 
aahh kweli mi siamini kama mvi zimeanza kuota, maisha yanakwenda kasi mno.. natamani kweli nirudi niwe na miaka 18 nianze bata upyaa

wala si utani wangu!
hamna age naitamani kama nilivokuwa FORM SIX LEAVER!dah!
 
happy birthday 'mdogo wangu' wa kabila moja, ingawa mi ni wa kumbinga
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…