15 November ...snowhite alizaliwa!

15 November ...snowhite alizaliwa!

lol!kwanza kabla sijasema asante ngoja niulize kwanza hii avatar ndo kusemaje?ahahahhahahahahhahahhaha
haya bana
ahsante sana shemeji!nasubiri mashalali

Hahahaha. Shem kausha kwanza. Tumalize kwanza sherehe.. Ndo vinono vinaandaliwa..
 
mie sikuwish,.mnajaza server kwa kujaza mithread isiyo na tija na kutafuta atention....
 
Happy birthday snowhite my twin..my pacha...Enjoy and celebrate happily!..I wish you all the best!!
 
Last edited by a moderator:
attachment.php
 

Attachments

  • snw.png
    snw.png
    131.1 KB · Views: 42
rafiki na wapendwa wangu!leo ni siku yangu ya kuzaliwa

Namshukuru sana MUUMBA kwa baraka na baraka tele alizonijalia na pumzi anazonijaalia toka nilipozaliwa mpaka sasa

HAKIKA SIFA NA UTUKUFU NI WAKE

Namshukuru sana mama yangu kwa kunizaa na kunilea toka nikiwa tumboni mpaka aliponiacha na kurudi kwa Muumba wake,natamani sana angepata heri ya kuniona nikiwa sasa mama, mke najua na naamini angejivunia sana mimi

HAKIKA NAKUPENDA NA KUKUMBUKA SANA MAMA YANGU

Namshukuru sana baba yangu kwa kunileta duniani na kunilea, yeye amekuwa nguzo yangu na amani yangu mpaka aliponiacha naye kumrudi kwa Muumba wake, naye natamani sana angenishuhudia leo nikiwa ni mwanamke jasiri na shupavu kama alivopenda niwe

HAKIKA I MISS YU daddy,(mwenyewe alikuwa ananiita mama yangu coz nilipewa jina la bibi yangu)

Namshukuru sana mume wangu, amekuwa ni rafiki mpenzi kwa maisha yangu miaka 17 pamoja naye haikuwahi kuwa majuto kwenye maisha yangu!

HAKIKA NAKUPENDA UPEO MAISHA YANGU!(mie humwita NAFSI YANGU MIMI)

Nawashukuru sana watoto wangu, wamekuwa furaha na faraja ya pekee sana kwa maisha yangu wamekuwa zaidi ya watoto wangu, infanct ni mashosti zangu, nawapenda sana na hawajanidissappoint as a mother! I'm very proud of them

HAKIKA NAMASHUKURU MUNGU KWA AJILI YAO

Nawashukuru sana dada zangu,kaka zangu
najua nilivyokuwa mtundu na wa kudeka enzi hizo

MUNGU AWABARIKI SANA KWA KUNIFUNDISHA YOTE!tatizo tu hesabu ndo zilikataa kupanda!

JF friends!
You guys sijui niseme nini kuonyesha kuwa nawapenda sana kila mmoja kwa nafasi na upekee wake FP we unajua ni dada mkubwa, thank you very much for being one gfsonwin weye mwali hata sina maneno ya kukwambia, thank yu very much The Boss we ni big brother si unajua? Ahsante sana kwa kuwa hivyo Ciello wewe ni mamduchu enh? Yap i love you dogo BAK hujawahi kunidisappoint kwenye upande wa miburudiko ahsante brother Boflo ah we mtu sijui nisemeje, jua tu unanipa cheko na bashasha kwa post zako, af nakumbushia ile offer yangu ya massage treat! cacico mke mwenza we wajua vile u remind of those days! SnowBall mtoto wa kiume wa mama yangu thank yu pacha watu8 ahahahahhahhaha ahsante sana kwa mambo yetu yaleeee! Hujawahi kuniangusha si unajua? Kaizer na Asprin mimi proud being ur mwalimu bana lara 1 kino gal, hujawahi kunibore kwa uandishi wako, I like ur style girl!
@mj'r partner shukrani sana kwa kushare nami interest kwenye ushairi Kongosho bi harusi wangu, mimi love you kwa kweli, na ahid ya glambox lazima niitimize Zinduna Madame B , mwaJ na King'asti ndani ya chama letu kubwa nawapenda sana mashosti Mtambuzi mume ya mama ngina wewe lol!ahahahhahhhha love yu sana bana Dark City,@horse power na Mkusa hongera sana kwa mawazo yenu

Well idadi ni kubwa saaaan nashindwa kuimaliza. Wengine woote NAWAPENDA SANA SANA SANA SANA!


Happy birthday Snowhite!!!!!!!!!
 
mie sikuwish,.mnajaza server kwa kujaza mithread isiyo na tija na kutafuta atention....

hapo kwenye RED ulikua unamaanisha nini vile???
we nina wasiwasi hujazaliwa bali umejambwa ndio maana unakosea watu adabu...hebu ondoka hapa haraka sana, server zijae kwani si ndio kazi yake
 
hapo kwenye RED ulikua unamaanisha nini vile???
we nina wasiwasi hujazaliwa bali umejambwa ndio maana unakosea watu adabu...hebu ondoka hapa haraka sana, server zijae kwani si ndio kazi yake

ahahahahahhahhah gfsonwin mwali hebu mwambie watu8 amsamehe huyu mtu!ahahahahhahhaha umeona hapo kwenye red lol!
 
Last edited by a moderator:
need not to say more, as you know how deeply i love you, you mean a lot to me and you are my true friend. i love you more than what my words can tell and more than what you can think, you madame b and cacico are the only true friends who keeps me smiling everyday.
snowhite nakupenda na uwe na maisha marefu sana sana yenye baraka na heri duniani.
 
Last edited by a moderator:
hapo kwenye RED ulikua unamaanisha nini vile???
we nina wasiwasi hujazaliwa bali umejambwa ndio maana unakosea watu adabu...hebu ondoka hapa haraka sana, server zijae kwani si ndio kazi yake

chukua time huko nikiwa nimezaliwa nimejambwa wewe yanakuhusu nini?whats the point kujaza server na mithread yenu ya ujinga uliofunikwa kwa lugha ya picha kama hii site ni home of greti thinkazz.....katafuteni site nyingine mjaza mashudu yenu.
 
need not to say more, as you know how deeply i love you, you mean a lot to me and you are my true friend. i love you more than what my words can tell and more than what you can think, you madame b and cacico are the only true friends who keeps me smiling everyday.
snowhite nakupenda na uwe na maisha marefu sana sana yenye baraka na heri duniani.
oh gal!ahsante mamii!NAKUPENDA SANA mwali!
ila umeona watu8 kashanipa teddy bear si unajua tena ahahahhahhahahha ,mweh!hatuchekani (lol)
 
Last edited by a moderator:
Watu 8 mdogo wangu wa moyoni, hebu wtu wasikuharibie siku asubuhi njema kama hii tunaposherehekea siku ya kuzaliwa kwa ipenzi chetu snowhite.

sijui kwanza leo mmeandaa nn ningekuwepo mwenyewe leo mngenikoma ila dah! nakuaminia dogo utaoganize party nzuri ya dada mkubwa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom