Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biblia haikuandikwa immediately baada ya kuondoka kwa Yesu. Iliandikwa baada ya zaidi ya Karne 4 kupita. Hiyo Copy iliyopostiwa ni genuine copy inayosema sawa na mafundisho ya Quran tukufu.
Kwanini ndugu zetu wakristo munaukana ukweli. Hiyo Bible imepimwa na wataalam na imeonekana ni authentic. Lazima mujiulize hivi ni kwanini muna Bible aina nyingi? Hivi maneno ya Mungu yanabadilika yenyewe kutokana na wakati au kuna mtu anayewabadilishia na wakuwataka muamini wanachokiandika??
Ujajibu maswali mkuu, umerudi kule kule achana na hizo linesWorld running hy symbols doesn't change the facts. The facts are in the Bible itself. The contradiction are in the Bible itself. What i have all said comes from the Bible. The analysis that Jesus was never cricified and so he was never ressurected. That message is clear.
Secondly, Muslim have no problem with Christians or any other religion. Muslims have coexisted peacefully with all other religions especially Christians. The true Christians are called ''People of the Book' in our holy Quran. Islam accepts them because they were following the teachings of Jesus(pbuh) of which is the same as the teachings of Muhammed(may peace be apon him).
Nikitu gani kinacho kupa kiburi cha kukiamini icho kitabu na ni kwanini uwaamini hao unao waita ni wa taalam umewaamini ? Je ulisha fanya research juu ya Bible wanayotumia wakristo ?Biblia haikuandikwa immediately baada ya kuondoka kwa Yesu. Iliandikwa baada ya zaidi ya Karne 4 kupita. Hiyo Copy iliyopostiwa ni genuine copy inayosema sawa na mafundisho ya Quran tukufu.
Kwanini ndugu zetu wakristo munaukana ukweli. Hiyo Bible imepimwa na wataalam na imeonekana ni authentic. Lazima mujiulize hivi ni kwanini muna Bible aina nyingi? Hivi maneno ya Mungu yanabadilika yenyewe kutokana na wakati au kuna mtu anayewabadilishia na wakuwataka muamini wanachokiandika??
Umeuliza swali zuri. Ni kwanini Islam inazungumzia Yesu?Mkuuu mbona unalazimisha Allah wenu ajipenyeze kwenye Imani ya kikristo au Uyahudi wakati hatumtambui......mbona sisi wakristo hatulazimishi JEHOVAH ajipenyeze kwny Imani yenu.......
si walikuwa wana pre empt,angalia account za mathayo,marco,yohana na luka kila mmoja akieleza tukio la kufufuka yesu anatofautiana na mwenzake,Ndugu unajua maana ya biblia ? Hoja ingepaswa kuwa maandishi yanayosema Kristo hakusulubiwa yaginduliwa. Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vingi ambapo namna gani vilipatikana imeelezwa. Tukumbuke pia hata biblia yenyewe inaeleza kuwa tangu awali kuna uzushi kuwa Kristu hakufufuka.
Unaweza ukawa na fikra hizo Chafu. Hujui alimuoa kivipi na ni kwa nini na hata hujui kama alikuwa naye kimapenzi. Kila jambo ambayo Mitume imefanya basi imefanya kwa agizo la Mwenyezi Mungu. Hakuna kitu Mitume itatenda ila katumwa na Mola wake. Kwa hiyo ni vyema uulize ili upate kuelimika kushindwa kutaka kutumia lugha za kashfa kwa Wajumbe wa Mwenyezi Mungu. Chunga kauli hizo kwani zinaweza zikakuharibia maisha. Mungu akusamehe kwa ajinga uliokuwa nao na akuongoe kwa njia iliyo sahihi.Kuoa na kuwa na watoto sio kashfa Ila kwahuyo Muhammad wenu alidhidisha umalaya maana alioa hadi katoto ka miaka 9....
Biblia yangu inasema YESU KRISTO aliteswa na kuwa crucified na kufufuka siku ya tatu na kisha baadae akapaa mbinguni, nadhani bila shaka wewe utakua unamuongelea Issa basi....Sasa kama unakubali alipaishwa kwa Mungu basi hakuwa Crucified. Suala linakuja ni nani aliyekuwa Crufied badala yake??
Mimi nasoma Bible kuelewa na sio kupandikizwa fikra za wahubiri. Ni hivyo ninavyo soma Quran. Lakini panapo kuwa na jambo halipo sawa ni majukumu yetu kuambizana kwani sisi sote ni wana wa Adam. Hili sio suala la kukasirika.
Hahahaha Islam inamzungumzia mtu anaeitwa Issa na sio YESU KRISTO. Mbona hilo liko waziUmeuliza swali zuri. Ni kwanini Islam inazungumzia Yesu?
Jibu:
Adam(A.S) alikuwa mtu wa kwanza kuletwa duniani. Je tujiulize alikuwa dini gani? Adam(A.S) alikuwa ni Muislamu. Nini maana ya Islam. Islam maana yake ni kujisalimisha kwa Amri ya Mwenyezi Mungu. Hakuna maana nyingine ya Islam. Kwa hiyo Adam alikuwa muislamu na vizaze vyake vyote vilikuwa waislamu. Somewhere along the line after many years watu walikuwa wakipotea kiimani. Hivyo ndivyo Mungu akawa anawaletea Mitume ili kuwaongoza. Hao Mitume walikuja kufundisha dini gani? Walifundisha dini ya Kiislam. Hawakufundisha kitu kipya. Mafundisho ni yale yale. Kujisalimisha kwa Amri ya mwenyezi mungu na kumuamini Mungu mmoja na Mitume yake. Kila Mtume alikuja na special purpose. Kuna baadhi waliokuja kwa ajili ya familia zao tu, kuna baadhi waliokuja kwa ajili ya watu fulani tu na kuna baadhi waliokuja kwa ulimwengu wote. Kuna baadhi waliokuja na vitabu na wengine wengine wamekuja bila vitabu. Kwa kuwa Mungu ni huyo huyo mmoja kwa wale walikuja na vitabu basi kwenye vitabu vyao history za mitume iliyopita inaelezewa kwa mapana ili watu waelewe na kuelimika. Musa(A.s) na Yesu(A.s) wote hawa wamekuja na ujumbe wa dini ya Islam. Kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu, Kumuamini kuwa ndio Mola pekee, hana mshirika na kuamini vitabu vyake na Mitume yake. Mbona hamusemi kuwa Bible inajipendekeza kwa Mtume Noah? Manake amezungumziwa kwenye Biblia. Hakuna sehemu kwenye Bible ambapo yesu ananukuliwa akisema nimekuleteni KRISTO ndiyo dini yenu. Hiyo Dini ya Kikristo Umezushwa tu. Lakini sio dini aliyoilingania Yesu (A.S). Kama unakana hayo. Nipe uthibitisho kuwa Yesu(A.S) kasema CHISTIANITY is your true religion. Isitoshe Yesu ameletwa kwa wana wa Israel tu. Hayo maneno Yesu(A.S) yeye mwenyewe amesema kwenye Bible.
Kwa usemi huo kwa kuwa Quran ni kitabu cha kweli basi si ajabu kuona Yesu na mitume mingine kuzungumziwa. Na ni haki yetu sisi Waislamu kumzungumzia Yesu(A.S) na kumlinda na uzushi anaozushiwa ya kuwa yeye Mungu na mambo mengine mengi tu kama Crucifiction, Kufa na Kufufuliwa.
Bilal(radhi za Mola zimfikie) alikuwa mtu shujaa na maswahaba wenzake walimtukuza kwa kumuita Master tokea alivyokombolewa kwenye utumwa. Ushahidi nitakaokupa haupo kwenye Biblia. Upo katika Islamic history na Hadith. Nitakutumia link usikilize kisa cha Bilal(Radhi za mola zimfikie) na mchango wake mkubwa katika kusimamisha dini ya Mwenyezi Mungu.Lete uthibitisho wa maandishi
Hebu tumia tu Common sense mkuu, huyo Muhhamad ingekua anaishi leo Uarabuni angenyongwa kwa kuoa katoto kadogo......Ila sishangai ndo maana hata pepo yenu mmeahidiwa kuongezewa nguvu za kiume na uwezo wa kungonoka na mabikra saba.....Unaweza ukawa na fikra hizo Chafu. Hujui alimuoa kivipi na ni kwa nini na hata hujui kama alikuwa naye kimapenzi. Kila jambo ambayo Mitume imefanya basi imefanya kwa agizo la Mwenyezi Mungu. Hakuna kitu Mitume itatenda ila katumwa na Mola wake. Kwa hiyo ni vyema uulize ili upate kuelimika kushindwa kutaka kutumia lugha za kashfa kwa Wajumbe wa Mwenyezi Mungu. Chunga kauli hizo kwani zinaweza zikakuharibia maisha. Mungu akusamehe kwa ajinga uliokuwa nao na akuongoe kwa njia iliyo sahihi.
Una matatizo sana we jamaa, nmekuambia lete uthibitisho wa maandishi from your books wewe unaleta Ngonjera zako.....Bilal(radhi za Mola zimfikie) alikuwa mtu shujaa na maswahaba wenzake walimtukuza kwa kumuita Master tokea alivyokombolewa kwenye utumwa. Ushahidi nitakaokupa haupo kwenye Biblia. Upo katika Islamic history na Hadith. Nitakutumia link usikilize kisa cha Bilal(Radhi za mola zimfikie) na mchango wake mkubwa katika kusimamisha dini ya Mwenyezi Mungu.
Hiyo Crucifiction ni uzishi mkubwa especially unaofanywa na wakatoloki kuwapoteza Wakristo. Ushahidi wa kutosha nimeumwaga kwenye thread hii. La pili mbona kuna Sects nyingi za wakristo wanakubali kuwa Crucifition sio kweli na hata hawavai misalaba. Pia wanakubali kuwa Yesu sio mtoto wa Mungu. Iweje leo ancient bible ipatikane na iseme Yesu sio mtoto wa Mungu na Crucifiction sio kweli ushindwe kuamini???Wa kutoa ukweli huo mkuu ni wakatoliki tu,kwani mfalme herode kipindi kile ambaye alikuwa mrumi ndiye aliyesimamia mchakato mzima wa tokea kukamatwa kwa yesu,kusulubiwa kwake kwa kuwambwa msalabani hadi kifo chake
Wangekiri wenyewe kuwa ule ulikuwa ni mchezo wa kuigiza na hakuna uhalisia ningeamini mkuu,lakini kwa kuwa hawajawahi kukana kuwa wao ndio waliosimamia hilo zoezi la kuuliwa kwa masia,basi inakuwa ngumu kuiamini hiyo biblia ya uturuki
Dini gani hiyo?Bora dini zenu za majini, na wanawake uchi(bila chupi) wakat wa ibada
Soma kaka soma. Fuatilia hivi vitu kwani gharama yake kubwa huko tunapokwenda ndugu yangu.Uzushi tu, miaka yote hiyo ndio igundulike Leo eti Bible ilikuwa makumbusho! Hakuna kitu kama hicho
Sio mabikra 7, umekosea mabikra 70,000. Tazama jinsi unavyo mtaja Mtume wa Mwenyezi Mungu kwa kejeli. Mtume huyo ndiyo aliyekuja kuzungumza na kukamilisha waliyoleta mitume iliyopita yakiwemo maagizo ya Yesu. Mtume huyo ndio aliyoongoa watu na kuwatoa kwenye ujinga na kuwaongoza katika mstari ulinyooka. Ni Mtume pekee aliyekuwa completely successful katika utumwa wake na amekamilisha kazi yake kikamilifu. Kwahiyo chunga lugha ya na ulimi wako juu yake. Hilo ni wazo tu la wewe kuzingatia.Hebu tumia tu Common sense mkuu, huyo Muhhamad ingekua anaishi leo Uarabuni angenyongwa kwa kuoa katoto kadogo......Ila sishangai ndo maana hata pepo yenu mmeahidiwa kuongezewa nguvu za kiume na uwezo wa kungonoka na mabikra saba.....
Kaka soma threads vizuri. Biblia inakana hivyo. Uthibitisho umemwangwa kwenye thread. Soma kwanza halafu njoo na hoja.Yesu wapo wengi Sana... Lakini Yesu kristo wa Nazareth ni mmoja tu naye alikufa msalabani na kufufuka katka wafu... Na Ndio ushindi wetu ulipo...
Wewe tuainishie hapa kama mimi ninavyokuwekea. Hii sio ligi. Tunapeana ukweli tu. Usikasirike kaka.Hujui kitu kuhusu biblia mkuu, hebu soma kitabu cha Luka sura ya kwanza, utaona kuwa mwandishi ambaye ni Luka anazungumzia mambo ambayo ameyashuhudia