Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Mbona zile 5 au 6 mlizocjezea huzisemi? Kuwa fair!View attachment 2583389
April 16, 1983 katika Derby ya Kariakoo @yangasc1935 ilishinda mabao 3-1. Charles Boniface Mkwasa aliswazisha bao Mussa Kihwelo, Juma Mkambi na Omar Hussein wakaongeza mawili. Miaka 40 Derby inajirudia katika tarehe ileile. [emoji23][emoji23] acheni uoga ndugu nawakumbush.
Je tarehe 16 inaweza kujirudia tena au yatageuka upande wa pili?
BalekeView attachment 2583389
April 16, 1983 katika Derby ya Kariakoo @yangasc1935 ilishinda mabao 3-1. Charles Boniface Mkwasa aliswazisha bao Mussa Kihwelo, Juma Mkambi na Omar Hussein wakaongeza mawili. Miaka 40 Derby inajirudia katika tarehe ileile. ππ acheni uoga ndugu nawakumbush.
Je tarehe 16 inaweza kujirudia tena au yatageuka upande wa pili?
Yaani unazungumzia 1983 wakati juzi tu akina Muzamiru wamepiga mtu 4-1 na bado hawajastaafu soka πApril 16, 1983 katika Derby ya Kariakoo @yangasc1935 ilishinda mabao 3-1.
Huyo Balehe wenu mtapoteana nae siku hyo dadekiiBaleke