16 april 1983 Mkubwa wa Kariakoo alichezea 3

16 april 1983 Mkubwa wa Kariakoo alichezea 3

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
3DACE275-39DB-4E9A-AF19-EA3B9C1A9A4E.jpeg

April 16, 1983 katika Derby ya Kariakoo @yangasc1935 ilishinda mabao 3-1. Charles Boniface Mkwasa aliswazisha bao Mussa Kihwelo, Juma Mkambi na Omar Hussein wakaongeza mawili. Miaka 40 Derby inajirudia katika tarehe ileile. 😂😂 acheni uoga ndugu nawakumbush.

Je tarehe 16 inaweza kujirudia tena au yatageuka upande wa pili?
 
View attachment 2583389
April 16, 1983 katika Derby ya Kariakoo @yangasc1935 ilishinda mabao 3-1. Charles Boniface Mkwasa aliswazisha bao Mussa Kihwelo, Juma Mkambi na Omar Hussein wakaongeza mawili. Miaka 40 Derby inajirudia katika tarehe ileile. [emoji23][emoji23] acheni uoga ndugu nawakumbush.

Je tarehe 16 inaweza kujirudia tena au yatageuka upande wa pili?
Mbona zile 5 au 6 mlizocjezea huzisemi? Kuwa fair!
 
View attachment 2583389
April 16, 1983 katika Derby ya Kariakoo @yangasc1935 ilishinda mabao 3-1. Charles Boniface Mkwasa aliswazisha bao Mussa Kihwelo, Juma Mkambi na Omar Hussein wakaongeza mawili. Miaka 40 Derby inajirudia katika tarehe ileile. 😂😂 acheni uoga ndugu nawakumbush.

Je tarehe 16 inaweza kujirudia tena au yatageuka upande wa pili?
Baleke
 
Kuna watu wanasahaulishwa na Magoli ya Jean...........ila watalia sana siku hiyo 😂
 
Back
Top Bottom