Freddie998
JF-Expert Member
- Apr 13, 2018
- 675
- 370
Imekuwa hivi sasa. 😅😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walikamata wakenya, Migori wao wakakamatwa.. Sisi tuwatch tuone😄haya tuone hii escalation itafika wapi
Wananiangusha pia😅😅 but tungoje tu. Lazima tuwaitishe 20M Kenyan shillings😂😂Hawajaitisha KES 16million ili wawaachilie? Hawa watu wa Migori County huwa wananiangushaga sana. Wanajifanya wafuata sheria ndio iweje sasa, au wanadhani watajishindia tuzo? 😎
Acha longo longo zako wewe, ongea kwa niaba ya wakongomani wenzako. [emoji1]Mkae nao ikibidi wanyongeni. Tanzania tulisha sema Mtanzania akishikwa ndani ya nchi nyingine nikazi ya sheria za nchi husika kuhusika nae. Hiyo sio kazi tena ya balozi.
Mkae nao ikibidi wanyongeni. Tanzania tulisha sema Mtanzania akishikwa ndani ya nchi nyingine nikazi ya sheria za nchi husika kuhusika nae. Hiyo sio kazi tena ya balozi.
Mbona hueleweki?, sisi sio watu wa kulialia kama ninyi, sisi tunasema kama mtanzani amevunja sheria za Kenya, shughulikeni naye kwa mujibu wa sheria zenu, wala hatusemi kwamba Kenya ina harass watanzania.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]No wonder wanatoroka Tz kuja kujazana Kenya.
Sasa mtalia lia kuhusu nini wakati ndani ya mioyo yenu mnafahamu vizuri hujuma zote mlizotufanyia? Bado vifaranga. [emoji125][emoji125][emoji125]Mbona hueleweki?, sisi sio watu wa kulialia kama ninyi, sisi tunasema kama mtanzani amevunja sheria za Kenya, shughulikeni naye kwa mujibu wa sheria zenu, wala hatusemi kwamba Kenya ina harass watanzania.
Nina kuhakikisha hii ingetokea wakenya wamekamatwa Tanzania, kelele za "Tanzanian harasses Kenyans", East Africa intergration", Tanzania sabotages Kenya, zisingeisha humu ndani.
Vifaranga vilikuwa vya mkenya au Mtanzania!? Akili zenu hazipo sawa walah!!!Sasa mtalia lia kuhusu nini wakati ndani ya mioyo yenu mnafahamu vizuri hujuma zote mlizotufanyia? Bado vifaranga. [emoji125][emoji125][emoji125]
This game don't need angry. [emoji1] Peace mkuu, natania tu, huu upuuzi utaisha tu. Shida kubwa ni kwamba mipakani watu wana hasira sana.Vifaranga vilikuwa vya mkenya au Mtanzania!? Akili zenu hazipo sawa walah!!!
Kweli Kenya inabidi mubadilike sana. Malawi wana mbegu nzuri sana ya kuku, kuku wa Malawi ni hybrid ya kuku wa kisasa na kienyeji, hawa kuku wanapendwa sana hapa Tanzania, watanzania wengi na wafanyabiashara wa Malawi wana jaribu sana kuviingiza vifaranga toka Malawi, vinakamatwa na kuchomwa moto, lakini husikii kelele zozote toka Malawi.This game don't need angry. [emoji1] Peace mkuu, natania tu, huu upuuzi utaisha tu. Shida kubwa ni kwamba mipakani watu wana hasira sana.
Mbona hueleweki?, sisi sio watu wa kulialia kama ninyi, sisi tunasema kama mtanzani amevunja sheria za Kenya, shughulikeni naye kwa mujibu wa sheria zenu, wala hatusemi kwamba Kenya ina harass watanzania.
Nina kuhakikisha hii ingetokea wakenya wamekamatwa Tanzania, kelele za "Tanzanian harasses Kenyans", East Africa intergration", Tanzania sabotages Kenya, zisingeisha humu ndani.
Lazima watusaidie kulipa deniAiii this amount man? Acheni hizo wakenya.Tutaenda kuzungusha bakuli wapi jamani!?