18% nini maana yake kwa watumishi wa umma wanaokopa kwenye bank za NMB na CRDB?

Ulishawai kukopa kwa America dollars. Au wamekusimulia kwamba ni rahisi
 
vipi unaweza kujua Islamic banking inakopeshaje? Halafu umenishauri ni ku- pm, nmeona wengi wanahitaji maarifa haya. Mie nafikiri kukopa mwakani,nataka nijifunze kwa huyu jamaa yangu aliyekopa nione namna atakavyo invest, nataka nione knowledge gap

Kwa upande wa Islamic banking sijui mfumo wao wa kukopeshana ukoje na criteria zipo vipi.
 
hapa nimekuelewa kumbe wanakokotoa kwa namna hiyo , je saccos zinaweza kumkopesha mtu hata kama si mwanachama wao?
Hapana huwezi kopeshwa.Lazima uwe mwanachama na Mkopo utapata kulingana na akiba uliyo nayo
 
Wengine wengi wanakupa hiyo interest kwa flat rate ambayo haipungui kulingana na kupungua kwa mkopo.....kama unahitaji sana kukopa pia uliza kama hiyo interest ni flat rate au redusing balance yani inapungua jinsi unavyozidi kurudisha mkopo
 
Very true niliwahi kopa NMB 6.5M nikajalipa 9M na pesa kwa muda wa miezi 60.

So muda unavyokuwa mwingi ndivyo unalipa more!
 
USHAURI MZURI KULIKO YOTE...USIKOPE KAMA HUNA BIASHARA YA KWENDA KUFANYA. UKIDHANI UTAKOPA UKANUNUE TV, SMART FONI NA SABUFA UJUWE RIBA UTAIONA KUBWA NA KUZIDI KUCHANGANYIKIWA HATA UKINYWA SUPU.
Kukopa kwa ajili ya ujenzi ni viable kiuchumi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…