jamani wajuzi tupeni vivid instances, zipi flat na zipi diminishing?kuna zingine riba ni flat na kuna nyingine ni diminishing
Ulishawai kukopa kwa America dollars. Au wamekusimulia kwamba ni rahisiMkuu nimesema hivyo kwa sababu sera za mabenki kuhusiana na riba, loan to value ratio, masharti pia yanatofautiana. Kwa hiyo each case in utofauti.
Kwa mfano mikopo ya ujenzi wa nyumba huweza kuchukua hata miaka 20 au 15 na ina masharti tofauti. Maana yake ni kwamba ukikosea kuchagua una kazi nzito kwa miaka 15 mpaka 20 ijayo.
Hata hivyo kama ni Mfanyabiashara au unakopa lufanyia biashara ni vema kuhakikisha kwamba faida uipatayo kwenye biashara inaweza kulipia ile pesa unayolipa kila mwezi. Kinyume na hapo mkopo utaogharimu biashara yako.
Pia ni vema kutembelea bank zinazokuzunguka ili kujua riba wanazotoza. Usikimbilie NMB kwa kuwa wewe ni mteja huko nenda hata FNB. Hakikisha una taarifa za msingi za mabenki yote kuhusu riba na masharti ya kila bank ili mwishoni uangalie unafuu uko wapi (hili lina umuhimu usikope kwa mazoea unaweza kuta bank ambayo huijui riba ni 16%)
Cha mwisho kama una kipato interms of Dollars kakope kwa dollar bank kwa kuwa ni cheaper sana kuliko kukopa in Tshs.
Asante sana mkuu, nimeingia huko kiu changu chote kikaisha! [emoji3] [emoji3]
Sijawahi kukopa bank lakini nimefanya kazi na mabank. Hili nililosema sio swala la kuambiwa ila ndio ukweli wenyeweUlishawai kukopa kwa America dollars. Au wamekusimulia kwamba ni rahisi
vipi unaweza kujua Islamic banking inakopeshaje? Halafu umenishauri ni ku- pm, nmeona wengi wanahitaji maarifa haya. Mie nafikiri kukopa mwakani,nataka nijifunze kwa huyu jamaa yangu aliyekopa nione namna atakavyo invest, nataka nione knowledge gap
hili nalo neno! vipi lkn umesha pata soup kuondoa hang over?
ACHA KUKOPA...KWANI LAZIMA?
hili nalo neno! vipi lkn umesha pata soup kuondoa hang over?
Hapana huwezi kopeshwa.Lazima uwe mwanachama na Mkopo utapata kulingana na akiba uliyo nayohapa nimekuelewa kumbe wanakokotoa kwa namna hiyo , je saccos zinaweza kumkopesha mtu hata kama si mwanachama wao?
HAHAHAHAAA. ..MBAVU ZANGU MIE....ILA HUU MCHEZO HAUHITAJI HASIRA ASEE
niliona kaja kwa speed, nikampiga kwa technical knockout ha ha haHAHAHAHAAA. ..MBAVU ZANGU MIE....ILA HUU MCHEZO HAUHITAJI HASIRA ASEE
kwani waliwahi sitisha?Crdb wameanza kutoa mikopo kwa wafanyakazi wa serikali ?
Wengine wengi wanakupa hiyo interest kwa flat rate ambayo haipungui kulingana na kupungua kwa mkopo.....kama unahitaji sana kukopa pia uliza kama hiyo interest ni flat rate au redusing balance yani inapungua jinsi unavyozidi kurudisha mkopo20 parcent kwa mwaka mmoja...
ambayo kwa mwezi ni kama 1.7% ya principal amount uliyoikopa...
so miaka minne maana yake ni 20 *4 ambayo inaleta 80%
sema kwa sababu riba inapungua kwa jinsi principal amount inavyopungia ndio maana unaona gharama zinapungua..
ushauri mkuu kwa watu wote.. usipende kukopa bank huwa wanajali faida yao tu na riba kubwa sana bali nenda kakope saccoss
Very true niliwahi kopa NMB 6.5M nikajalipa 9M na pesa kwa muda wa miezi 60.Riba inalipwa kwa muda lets say hiyo 20% ni riba ya 20% kwa mwaka. Hesabu ziko hivi kama utakopa 10m kwa miaka miwili ila unalipa 300000 kila mwezi. Riba kwa mwezi itakuwa 20%/12 (kupata riba ya mwezi) halafu unazidisha na kiasi unachodaiwa kwenye pesa uliyokopa.
Kaa mfano huo riba itakuwa hivi:
Mwezi wa kwanza.
(20%/12) * 10m= 166,667
Mwezi wa pili.
(20%/12)* (10-makato ya mwezi wa kwanza)
0.1667 *( 10m - 133333)= 164,445
Kwa maana nyingine miezi ya kwanza utakuwa unalipa zaidi riba kuliko mkopo wenyewe. Na mikopo hii ina hssara moja ukikopa kwa muda mrefu na pesa za riba huongezeka zaidi.
Unaweza kutumia excel spread sheets kujua mkopo utakugharimu tsh ngapi jumla na kueavaluate options nafuu zaidi.
Kukopa kwa ajili ya ujenzi ni viable kiuchumi?USHAURI MZURI KULIKO YOTE...USIKOPE KAMA HUNA BIASHARA YA KWENDA KUFANYA. UKIDHANI UTAKOPA UKANUNUE TV, SMART FONI NA SABUFA UJUWE RIBA UTAIONA KUBWA NA KUZIDI KUCHANGANYIKIWA HATA UKINYWA SUPU.