1868 French evening dress of ivory silk and machine-made Chantilly lace. Kunstmuseum the Hague

1868 sijui wazee wetu walikuwa wanavaa vitu gani kwa kweli. Hawa watu wametuacha parefu na hatuonekani kutaka kupunguza hiyo tofauti
 
1868 sijui wazee wetu walikuwa wanavaa vitu gani kwa kweli. Hawa watu wametiacha parefu na hatuonekani kutaka kupunguza hiyo tofauti
Waliendelea walivaa ngozi za wanyama kipindi hicho. Wale wa madongo kuinama bado walivaa magome ya miti.

Ukiangalia historia ya Congo, King Leopard alitumia nguo kama njia ya kupendeza Ukatoliki na Ukoloni Congo. Alikusanya nguo makanisani na kuzileta Congo.
 
Wazee wetu wameanza kuvaa miaka maelfu kabla ya wazungu. Si huwa unaona wamisri wa kale wametupia viwalo, miaka zaidi ya 3000 kabla ya yesu.
Unafahamu kuwa wa Misri wa kale walikua ni weusi, walitumia ma chanjo ya mbao na walisuka mnyoosho na single plate.
 
Unafahamu kuwa wa Misri wa kale walikua ni weusi, walitumia ma chanjo ya mbao na walisuka mnyoosho na single plate.
Ndiyo namwambia mdau hapo, wamisri weusi wa kale walianza kuvaa nguo kabla hata ya wazungu.
 
Na kuna kipindi nguo za pamba kutoka Sokoto empire ya Usman Dan Fodio zilikuwa zinakubalika kwa ubora Africa Kaskazini na ulaya yote. Wafanyabiashara kutoka Morocco walivuka Sahara kuja kuzifuata. Ni moja ya sababu wazungu walitaka kuchunguza bara la Africa kwa undani kujua zinakotoka.
 
Pia Safari ya Mansah Musa kwenda hijja na kugawa dhahabu njiani iliwatia uchizi Wazungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…