19 Agosti 2022 SHARED Jeshi la Urusi lajiandaa kukata mtambo wa nyuklia kutoka kwa gridi ya taifa - Ukraine inasema

19 Agosti 2022 SHARED Jeshi la Urusi lajiandaa kukata mtambo wa nyuklia kutoka kwa gridi ya taifa - Ukraine inasema

EINSTEIN112

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
21,711
Reaction score
35,644
Kama tumekuwa tukiripoti, kampuni ya nishati ya nyuklia ya Ukraine Enerhoatom imesema kwamba wanajeshi wa Urusi wanaodhibiti kinu cha nyuklia cha Zaporizhzhya huenda wanapanga kukitenganisha na njia zinazoingiza nishati katika mfumo wa nishati wa Ukraine katika siku za usoni.

Enerhoatom amechapisha kwenye mtandao wa Telegram ikionya kwamba jeshi la Urusi kwa sasa linatafuta wasambazaji wa mafuta wa ‘’jenereta za dizeli, ambazo zinatarajiwa kuwashwa baada ya vitengo vya nguvu za umeme kuzimwa’’.

Inapendekeza jenereta hizi zingehitajika kuweka nguvu zinazotolewa kwa mifumo ya kupoesha kwa mafuta ya nyuklia yaliyotumika.

Kampuni hiyo iliendelea kudai kwamba Warusi wamepiga picha walipokuwa wao wenyewe wanarusha makombora kwenye eneo hilo, kwa lengo la kusambaza picha hizo na kulaumu vikosi vya Ukraine.

Hata hivyo, BBC News imeshindwa kuthibitisha madai haya.

Katika siku za hivi karibuni pande zote mbili zimekuwa zikishutumiana eti upande mwingine unakaribia kufanya ‘’chokozi’’ kwenye kiwanda hicho.

‘’Kwa mara nyingine tena tunatoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua zote muhimu haraka iwezekanavyo ili kuondoa umiliki wa Zaporizhzhya [kinu cha kuzalisha umeme] kwa sababu usalama wa nyuklia na mionzi ya wanadamu wote uko hatarini,’’ kampuni ya
 

Attachments

  • Screenshot_20220820-085012_Facebook.jpg
    Screenshot_20220820-085012_Facebook.jpg
    201.9 KB · Views: 8
Kaweka vilipuzi kuzunguka mtambo anasema Ukraine akisogea aitwae utwikosa sababu ntailipua mitambo

Au nyuti kimya ili uwe wa Kwangu kwaajili ya Crimea

Mwizi siku zote mkinbize kimyakimya soon utasikia yaaalah Sigara hiyooo na analifahamu ilo ndio maana anatumia kujificha kwenye huo mtambo sababu Sigara haiwezi elekezwa direct



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Kama tumekuwa tukiripoti, kampuni ya nishati ya nyuklia ya Ukraine Enerhoatom imesema kwamba wanajeshi wa Urusi wanaodhibiti kinu cha nyuklia cha Zaporizhzhya huenda wanapanga kukitenganisha na njia zinazoingiza nishati katika mfumo wa nishati wa Ukraine katika siku za usoni.

Enerhoatom amechapisha kwenye mtandao wa Telegram ikionya kwamba jeshi la Urusi kwa sasa linatafuta wasambazaji wa mafuta wa ‘’jenereta za dizeli, ambazo zinatarajiwa kuwashwa baada ya vitengo vya nguvu za umeme kuzimwa’’.

Inapendekeza jenereta hizi zingehitajika kuweka nguvu zinazotolewa kwa mifumo ya kupoesha kwa mafuta ya nyuklia yaliyotumika.

Kampuni hiyo iliendelea kudai kwamba Warusi wamepiga picha walipokuwa wao wenyewe wanarusha makombora kwenye eneo hilo, kwa lengo la kusambaza picha hizo na kulaumu vikosi vya Ukraine.

Hata hivyo, BBC News imeshindwa kuthibitisha madai haya.

Katika siku za hivi karibuni pande zote mbili zimekuwa zikishutumiana eti upande mwingine unakaribia kufanya ‘’chokozi’’ kwenye kiwanda hicho.

‘’Kwa mara nyingine tena tunatoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua zote muhimu haraka iwezekanavyo ili kuondoa umiliki wa Zaporizhzhya [kinu cha kuzalisha umeme] kwa sababu usalama wa nyuklia na mionzi ya wanadamu wote uko hatarini,’’ kampuni ya
Sema kingine Warusi wa Tandika kaburi 1 BBC si mnasemaga chombo cha Propaganda halafu leo unaitumia kutupatia References [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Sema kingine Warusi wa Tandika kaburi 1 BBC si mnasemaga chombo cha Propaganda halafu leo unaitumia kutupatia References [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ukikua utaelewa "when propaganda fail you water down the truth"

Kua mdogo wangu🤣🤣🤣🤣
 
Ukikua utaelewa "when propaganda fail you water down the truth"

Kua mdogo wangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu tunakupata unatakaga references za Al jazeera na pengine lakini unasema ukweli kabisa Urusi kashaichukua Odessa na Comedian yupo Kremlin sasa hv wanampiga na spana utosini

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Na Bado huu mwaka kote kule Hadi Kharkiv kote kutabadilika jina kutaitwa Russian Federation. Hata msipotaka.
I'la pro US mnapenda kujipa sna moyo. Kelele zote i'la hata kipande Cha ardhi kule Mashariki hamjarudisha.
 
Na Bado huu mwaka kote kule Hadi Kharkiv kote kutabadilika jina kutaitwa Russian Federation. Hata msipotaka.
I'la pro US mnapenda kujipa sna moyo. Kelele zote i'la hata kipande Cha ardhi kule Mashariki hamjarudisha.
Jamaa wanajitekenyaga utaambiwa mara Russia kashambuliwa halafu hawatupi matokeo ya hayo mashambulizi
 
Back
Top Bottom