Shangaaa
Kama wewe ni msomaji mzuri wa Wikipedia utagundua kua hiyi biography imeandikwa na kienyeji enyeji so usije ukaiamini kuna articles zingine ata wewe unaeza kujiandikia.
Angalia Ngeli iliyotumika hapo plus utumizi wa lugha.
wikipedia inadanganya tena sana tu mkuu!
Mana wanaandika watu kama sisi tu! Na siwezi ku loose trust kwenye wikipedia!
Tungekuwa Tech & gadget ningekuwekea baadhi ya uongo wao
Inadanganya kwa watu kama wa Tanzania, hiyo article haija andikwa na "mzee wikipedia" mwenyewe, angalia ngeli iliyotumika ni ya kibongo bongo kabisa.
Wikipedia wako vizur sana.
.
Iangalie kwanza sura hii !
Afu jiulize kama ni sahihi kuwa na 18 years or not !