snipa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 4,437
- 2,043
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawa wazee wanakimbilia 40
hata mie najua hivyo, ila sasa mwenyewe anasema ana 23Wema najua kazaliwa mwaka 1988 maana kwenye miss tanzania 2006 akikuwa 18.
hata mie najua hivyo, ila sasa mwenyewe anasema ana 23
Wema najua kazaliwa mwaka 1988 maana kwenye miss tanzania 2006 akikuwa 18.
Mbona leo umeni let down, ushahidi haujajitosheleza bana, kwani kwenye ma miss si ndio huwa wanapoanzia kudanganya umri??ama
ameround off to the nearest 20...
Mbona leo umeni let down, ushahidi haujajitosheleza bana, kwani kwenye ma miss si ndio huwa wanapoanzia kudanganya umri??ama
Mbona leo umeni let down, ushahidi haujajitosheleza bana, kwani kwenye ma miss si ndio huwa wanapoanzia kudanganya umri??ama
Hahaha nilishawah kusemaga anatumia Ethiopian Calendar huyu teh teh
hahahaha, basi angekuwa anaongeza kdogo kdogo ili kutudanganya lol.ameround off to the nearest 20...
hahahahah, kula like mkuuCheti natafuta mwenyewe RITA baada ya kuzaliwa kwanini nisidanganye umri. Unajikaseja kwenda mbele.
Kama wewe ni msomaji mzuri wa Wikipedia utagundua kua hiyi biography imeandikwa na kienyeji enyeji so usije ukaiamini kuna articles zingine ata wewe unaeza kujiandikia.