1AZ-SFE VS 3S-FE

1AZ-SFE VS 3S-FE

Sijui ipi ni kiboko ya mwenzie kama ulivyouliza ila nafahamu haya:

1. 1AZ-SFE ni engine model iliyotengenezwa baada ya 3S-FE, hivyo kwa maana ya ukisasa 1AZ-SFE ni mpya zaidi ya 3S-FE.

2. 1 AZ-SFE maarufu zaidi kama D4 ina technolojia nzuri zaidi katika utumiaji wa mafuta kulinganisha na 3S-FE. Tatizo kubwa la engine hii ni kuwa haipendi petrol chafu. D4 engines ziko kwenye magari mengi kama RAV4 Kili time, Toyota Premio (zile za 2L engine), Nadia (ACN model), Noah (new model),VOXY, na nyingine. Watu wengi hawana experience nzuri na engine za D4.

3. 3S-FE ni engine inayotumika kwenye magari kama RAV 4 old model (1995 -1999), na magari mengine. 3S-FE kibongo bongo zimeonekana ku-fit mazingira yetu kuliko D4 engines. 3S-FE hazina shida kwenye mafuta/petrol chafu, zinapiga mzigo tu.

Ukitaka kujua zaidi jaribu kutafuta habari za D4 engine humu JF au kwenye mitandao mingine.
 
Sijui ipi ni kiboko ya mwenzie kama ulivyouliza ila nafahamu haya:

1. 1AZ-SFE ni engine model iliyotengenezwa baada ya 3S-FE, hivyo kwa maana ya ukisasa 1AZ-SFE ni mpya zaidi ya 3S-FE.

2. 1 AZ-SFE maarufu zaidi kama D4 ina technolojia nzuri zaidi katika utumiaji wa mafuta kulinganisha na 3S-FE. Tatizo kubwa la engine hii ni kuwa haipendi petrol chafu. D4 engines ziko kwenye magari mengi kama RAV4 Kili time, Toyota Premio (zile za 2L engine), Nadia (ACN model), Noah (new model),VOXY, na nyingine. Watu wengi hawana experience nzuri na engine za D4.

3. 3S-FE ni engine inayotumika kwenye magari kama RAV 4 old model (1995 -1999), na magari mengine. 3S-FE kibongo bongo zimeonekana ku-fit mazingira yetu kuliko D4 engines. 3S-FE hazina shida kwenye mafuta/petrol chafu, zinapiga mzigo tu.

Ukitaka kujua zaidi jaribu kutafuta habari za D4 engine humu JF au kwenye mitandao mingine.
Thanks so much. Nimejifunza hasa sisi wenye vipato vidogo hizi new generation engines hazitufai
 
New models zinakuwa na faida kuliko old models. Kuna uoga unaojengwa kwasababu either ya kutokujifunza vitu vipya(mafundi) au umaskini (kutishwa na bajeti finyu against maintenance of new models/tech...go for D4 engines
 
You will never enjoy latest models cars et al kama unakuwa na mtazamo hasi
 
Back
Top Bottom