1JZ/2JZ haiwezi kupambana na Wajerumani

1JZ/2JZ haiwezi kupambana na Wajerumani

Aisee mlinganisho uliopo ni wa JZ engine vs engine za Kijerumani.. Huu sio mlinganisho wa chassis.. Wewe unalinganisha chassis..
Kwenye chassis yes E34 na Crown ndio category moja.. Executive Sedan..!

Mbili hiyo engine unayoisema kwenye crown haiwezi kukaa ligi moja na S38B38..!
Haina uwezo hata wa 2JZ..!
Hiyo inalinganishwa na M60/M62 za kwenye E34 540i.. Ila sio E34 M5..!
Sasa hapo ndo inatakiwa ilinganishwe nayo hio walau ndo kuna uwiano hasa kwenye Class Executive Sedan ndo zinadondokea huko pamoja kwaio mjadala huu umetaka ku compare engine zisiofanana sababu wajapani wa kibongo wengi wanaipingia makelele 2JZ
 
Sasa hapo ndo inatakiwa ilinganishwe nayo hio walau ndo kuna uwiano hasa kwenye Class Executive Sedan ndo zinadondokea huko pamoja kwaio mjadala huu umetaka ku compare engine zisiofanana sababu wajapani wa kibongo wengi wanaipingia makelele 2JZ
Aisee wapi unashindwa kuelewa..!!!?
Mimi sipo kabisa kwenye chassis.. Naongelea engines..
Wewe unaongelea chassis..

Nimeshakupa similarities zake..
Zote ni inline six.. Zote ndio zilikuwa most powerful engines kwa brand zao kwenye hizo era..!
Huoni zinafanana..!!
 
Mkaminokawa vs Mbavaria

04B00F38-6EDC-43FE-AF42-186EBAD7CD65.jpeg


65C80B03-36BD-4F8F-9112-452A52F28F07.jpeg


C4514A32-C9CD-4591-B2C4-8C04DA89C9EA.jpeg


AFCC112B-128D-47A5-B8FD-47B3E958AD26.jpeg
 
Back
Top Bottom