1k maana yake nini?

Mtu kasema kaishia la saba lakini mnajitahidi kuandika kingereza jf bhana
 
K ipewe heshima yake. Siyo vyema na haki kuithaminisha K na buku. K ina thamani kubwa zaidi ya buku.

K oyèeee!
 
Dah.... Kwa kifupi k ni sawa na buku......1k ni buku 1.....2k ni buku 2.....100k ni laki 1 ambayo ni sawa na Kilo moja😅🤔☹️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…