pottasium
Member
- Aug 30, 2013
- 91
- 5
kwa wale 1st year wote napenda kuwatangazia mapind ya chuo kama ifuatavyo. course zitakazofundisha ni kama ifuatavyo 1:jins ya kutumia boom 2:kuepuka kudisco na kusapu 3: jins ya kumenej time 4: kujua dem mzur anayekufaa 5: jins ya kuchagua marafk 6:kutambua matapel chuoni 7:jins ya kupiga chapo kuepuka kudisco 8: jins ya kula bata wakat wa field 9:jins ya kufoj assiment 10: pamoja na jins ya kufanya presentation .Ada ni bei nafuu na utalipa kidogokidogo tumewasaidia weng sana tunaaza fundisha kuanzia tarehe 20 had cku ya utakapo fungua chuo wote mnakaribishwa