1st YEAR MAPINDI YA CHUO

pottasium

Member
Joined
Aug 30, 2013
Posts
91
Reaction score
5
kwa wale 1st year wote napenda kuwatangazia mapind ya chuo kama ifuatavyo. course zitakazofundisha ni kama ifuatavyo 1:jins ya kutumia boom 2:kuepuka kudisco na kusapu 3: jins ya kumenej time 4: kujua dem mzur anayekufaa 5: jins ya kuchagua marafk 6:kutambua matapel chuoni 7:jins ya kupiga chapo kuepuka kudisco 8: jins ya kula bata wakat wa field 9:jins ya kufoj assiment 10: pamoja na jins ya kufanya presentation .Ada ni bei nafuu na utalipa kidogokidogo tumewasaidia weng sana tunaaza fundisha kuanzia tarehe 20 had cku ya utakapo fungua chuo wote mnakaribishwa
 
ndio nini?au mgen kumbeTotal Posts
Total Posts 62
Posts Per Day 3.04
Find latest posts
Find latest started threads
Visitor Messages
Total Messages 0
Most Recent Message Never
General Information
Last Activity Today 00:32
Join Date 30th August 2013
 

karbu utaelewa ukfika
 
wa2 wakikosa kaz bna utawaona 2..aya bna 2takuja bt funguka kuhusu tuition fee iz whch amount
 
wa2 wakikosa kaz bna utawaona 2..aya bna 2takuja bt funguka kuhusu tuition fee iz whch amount

Kwa mfano ungeandika" Watu wakikosa kazi bwana utawaona tu.Haya bana tutakuja but funguka kuhusu ..."...ungepungua kilo ngapi?...
 
Kwa mfano ungeandika" Watu wakikosa kazi bwana utawaona tu.Haya bana tutakuja but funguka kuhusu ..."...ungepungua kilo ngapi?...

kumbe ulielewa lakini! Vizuri kwa kumuelewa. Alichotumia ndio huitwa stylistics.
 
We have to store you under mineral oil,coz you oxidize rapidly in air and you catch fire spontaneously when you are exposed in water...
Pia usisahau wewe ni mbolea
 
Mkuu kama una hayo maujanja we yatupie na sio kuleta u-TEKU wako humu.
 
ndio nini?au mgen kumbeTotal Posts
Total Posts 62
Posts Per Day 3.04
Find latest posts
Find latest started threads
Visitor Messages
Total Messages 0
Most Recent Message Never
General Information
Last Activity Today 00:32
Join Date 30th August 2013

great thinking starts from listening...!!

mkuu kwa kweli hujaitendea haki elimu yako!!!

kama kweli ni mgeni, ndio umpokee namna hii? je wewe ulivyoingia jf ulipokelewa namna hii?

jifunze
 
 

Karibu sana JF
 
great thinking starts from listening...!!

mkuu kwa kweli hujaitendea haki elimu yako!!!

kama kweli ni mgeni, ndio umpokee namna hii? je wewe ulivyoingia jf ulipokelewa namna hii?

jifunze

Mgeni kwani Hana akili ..anapost ufyonko Humu
Rubbish
 
We Utakuwa Umetoloka Milembe,kamalize Doz Yk Ndo Urudi Humu Ndan. samahan lkn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…