Mkikua mtaacha
imekuchoma eeh! Huu ni mtandao wa kijamii na elewa kwamba jamii hailingani. Kila mmoja ana uhuru wa kufanya atakavyo kikubwa asivunje sheria. Iweje mtu kama wewe uniendeshe utakavyo. Eti nisiandike hivi. Kampangie hivo mwanao na sio mtu mwenye anajitambua na maamuzi yake.