Mambo vipi.!
Naombeni ushauri mimi ni mwajiriwa,,niko singida.. Nina hicho kiasi cha mil.2 ila natamani sana kufanya biashara angalau kujikwamua na haya maisha ya kutegemea mshahara.,.tatizo sina uzoefu hata kidogo kuhusu ujasiliamali..sijui hata pa kuanzia...,au kama kuna tunaweza share hata biashara tutafutane private msg(pm)!!
mkuu tafuta eneo fungua genge la mbogamboga , matunda na vyakula
return yake ni ya uhakika