20 Greatest Tanzanians Of All Time

Forest Hill

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2018
Posts
2,873
Reaction score
6,821
List Yangu ya Watanzania Bora ishirini waliowahi kuishi na ambao wapo hai,ambao kwa kupitia vipaji vyao au Elimu wametoa mchango chanya Kwa Jamii ya Tanzania,.

kumbuka haya ni maoni binafsi tu

1: Julius Kambarage Nyerere
2:Shabban Robert.
3:Reginald Mengi
4:Mbwana Samatta
5:King Majuto
6: Christopher Mtikila
7 P Funky Majani
8:Issa Shivji
9:Tindu Lissu
10:Said Bakheressa
11:Steven Kanumba
12:Joseph Mbilinyi(Sugu)
13:Maalim Seif Hamad
14:Filbert Bay
15:Ruge mutahaba
16:Ali Hassan Mwinyi
17:Nancy Sumari
18 PHILIP NERI NDUNGURU
19:Bibi Titi Mohamed
20:Rashid Matumla(Snake Boy)
 
21:Jaji warioba
 
Vipi JAMBAZI MAKONDA NA SABAYA?
 
Dr am 4 real PhD
 
Kwahiyo mkuu kwenye Research yako uliona kuwa Nancy Sumary alikuwa na impact kubwa kuliko JIWE? Haya bana, RIP Jiwe, RIP Simba wa Yuda, RIP JPM.


#Hilinalomkalitizame.
 
Hii list sababu umetoa wewe tuseme ni mawazo yako....ila imekaa ki NGUMBARU GUMBARU SANA
....sio ya kisomi.....
 
Weka ya kisomi mkuu
Narudia tena hii list imekaa KI LASABA LASABA SANA ..yaani umechanganya wanasiasa wafanyabiashara ..mipira ngumi.....

Ungeandika hawa upande wa siasa

Michezo, fashion, labda uandishi ungeeleweka

Ndo maana nasema hii list ya KI LASABA LASABA SANA au wewe ni la saba hujui ku grade watu
 
Hahaha huyu Matumla ni nani hasa?
 
Wewe fanya ya kwako sasa ambayo unaitaka....ila ya kwake ndio hiyo.
 
Akili zako ndogo,post Kama hii hunu jf sio ya kwanza Wala ya pili,na dunia nzima wanapoeka watu waliofanya makubwa kwenye nchi zao hawaangalii wanatoka kada ipi,so chill msomi,.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…