20 Greatest Tanzanians Of All Time

20 Greatest Tanzanians Of All Time

Inamaana Freeman Mbowe hayupo hapo? Yani Nancy sumari ana impact gani jamani au unazungumzia kwny engo zipi? ...
Ongezea hapo Dimond Platnumz
Huyu hajui hata kulist kaandika kishamba sana ilibidi aseme siasa ni hawa.... mabondia hawa... fashion ni hawa... kwenye music ni hawa.... biashara na uchumi hawa....ulinzi hawa....wanasayansi hawa....

Sasa ndugu kachanganya watu wa sector zote. ..NGUMBARU KWELI HUYU JAMAA MSHAMBA MSHAMBA MWANDISHI
 
Akili zako ndogo,post Kama hii hunu jf sio ya kwanza Wala ya pili,na dunia nzima wanapoeka watu waliofanya makubwa kwenye nchi zao hawaangalii wanatoka kada ipi,so chill msomi,.
Nenda kaone dunia nobel prize hutolewa vipi kwa kuchanganya au kila sector.....WEWE NI MSHAMBA MKUUU
 
Hasan rehan Bitchuka, maalim Gurumo, meja jenerali chacha mwita waitara?, Bibi Titi mohamedi, hashim mbita, salim ahmed salim, Jaji Rugakingira
 
Snake boy wakati nipo mdogo alikua anapiga kila mtu,kavaa sana medali za kimataifa na mikanda pia, yeye na familia yake ndio chachu ya mchezo wa masumbwi,Dar es salaam na tz kwa ujumla,
Enzi zake keko kila kijana alitaka kua bondia
 
Akili zako ndogo,post Kama hii hunu jf sio ya kwanza Wala ya pili,na dunia nzima wanapoeka watu waliofanya makubwa kwenye nchi zao hawaangalii wanatoka kada ipi,so chill msomi,.
Jamaa kaona kundi analotaka liwemo hujaliweka.
 
Kwe
List Yangu ya Watanzania Bora ishirini waliowahi kuishi na ambao wapo hai,ambao kwa kupitia vipaji vyao au Elimu wametoa mchango chanya Kwa Jamii ya Tanzania,.

kumbuka haya ni maoni binafsi tu

1: Julius Kambarage Nyerere
2:Shabban Robert.
3:Reginald Mengi
4:Mbwana Samatta
5:King Majuto
6: Christopher Mtikila
7 P Funky Majani
8:Issa Shivji
9:Tindu Lissu
10:Said Bakheressa
11:Steven Kanumba
12:Joseph Mbilinyi(Sugu)
13:Maalim Seif Hamad
14:Filbert Bay
15:Ruge mutahaba
16:Ali Hassan Mwinyi
17:Nancy Sumari
18 PHILIP NERI NDUNGURU
19:Bibi Titi Mohamed
20:Rashid Matumla(Snake Boy)
Kwenye upande wa mziki jee au hatuna kwa upande uo🤦
 
Snake boy wakati nipo mdogo alikua anapiga kila mtu,kavaa sana medali za kimataifa na mikanda pia, yeye na familia yake ndio chachu ya mchezo wa masumbwi,Dar es salaam na tz kwa ujumla,
Enzi zake keko kila kijana alitaka kua bondia
Ndo maana listi ya kiswazi sana hii kumbe umekulia KEKO.....
 
Narudia tena hii list imekaa KI LASABA LASABA SANA ..yaani umechanganya wanasiasa wafanyabiashara ..mipira ngumi.....

Ungeandika hawa upande wa siasa

Michezo, fashion, labda uandishi ungeeleweka

Ndo maana nasema hii list ya KI LASABA LASABA SANA au wewe ni la saba hujui ku grade watu
Mbona unatutukana sisi la Saba? Hujui tupo tumewapita wengi waliofika form 4 hata chuo kwa maarifa na mafanikio?
 
Narudia tena hii list imekaa KI LASABA LASABA SANA ..yaani umechanganya wanasiasa wafanyabiashara ..mipira ngumi.....

Ungeandika hawa upande wa siasa

Michezo, fashion, labda uandishi ungeeleweka

Ndo maana nasema hii list ya KI LASABA LASABA SANA au wewe ni la saba hujui ku grade watu
Acha upumbavu mkuu,wewe kama unaona imekaa kama unavyosema weka ya kwako,hii ni list yake na respect maoni yake,huu ni mjadala na kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake,upumbavu wako umekufanya hata kuelewa mada imekua tatizo kwako,watanzania waliotoa mchango chanya kwa nchi yetu,hili ni kapu kubwa na wewe unaweza kuweka ya kwako,Nkanini kwangu ni president Mwinyi (MHSRIP),Jella Mtagwa,Hassan Rehani Bitchuka,Mbaraka Mwinshehe,PM Salim A.Salim,Suleman Nyambui,Tido Mhando,mwalim wa kwaya s/m Kange (Tanga)nimemsahau jina lake,Gen.S.Mayunga,Gen.T.Kiwelu (down to earth gentleman),Titi Mohamed,Shakila,Bi.Kidude.
 
Haha Mimi mshamba nimekwambia natoa Nobel prize hapa??kusoma hujui angalia list ya greatest South African,angalia ya ujerumani,are you chasing for the clout??
Hakuna sehemu wanatoa list kuchanganya kada.....WEWE NI MSHAMBAA BWANA HUJUI KITU HUONI HADI KWENYE TUZO MBALI MBALI KUNA GRADING YA WATU KUTOKANA NA KADA
 
List Yangu ya Watanzania Bora ishirini waliowahi kuishi na ambao wapo hai,ambao kwa kupitia vipaji vyao au Elimu wametoa mchango chanya Kwa Jamii ya Tanzania,.

kumbuka haya ni maoni binafsi tu

1: Julius Kambarage Nyerere
2:Shabban Robert.
3:Reginald Mengi
4:Mbwana Samatta
5:King Majuto
6: Christopher Mtikila
7 P Funky Majani
8:Issa Shivji
9:Tindu Lissu
10:Said Bakheressa
11:Steven Kanumba
12:Joseph Mbilinyi(Sugu)
13:Maalim Seif Hamad
14:Filbert Bay
15:Ruge mutahaba
16:Ali Hassan Mwinyi
17:Nancy Sumari
18 PHILIP NERI NDUNGURU
19:Bibi Titi Mohamed
20:Rashid Matumla(Snake Boy)
Emilio Mzena
 
Back
Top Bottom