20 Greatest Tanzanians Of All Time

20 Greatest Tanzanians Of All Time

List Yangu ya Watanzania Bora ishirini waliowahi kuishi na ambao wapo hai,ambao kwa kupitia vipaji vyao au Elimu wametoa mchango chanya Kwa Jamii ya Tanzania,.

kumbuka haya ni maoni binafsi tu

1: Julius Kambarage Nyerere
2:Shabban Robert.
3:Reginald Mengi
4:Mbwana Samatta
5:King Majuto
6: Christopher Mtikila
7 P Funky Majani
8:Issa Shivji
9:Tindu Lissu
10:Said Bakheressa
11:Steven Kanumba
12:Joseph Mbilinyi(Sugu)
13:Maalim Seif Hamad
14:Filbert Bay
15:Ruge mutahaba
16:Ali Hassan Mwinyi
17:Nancy Sumari
18 PHILIP NERI NDUNGURU
19:Bibi Titi Mohamed
20:Rashid Matumla(Snake Boy)
Ni mtizamo tu ila wa kwangu wa kwanza ni jembe JPM hivi imagine bila bwawa la mwalimu Nyerere tatizo la umeme Tanzania sijui lingekuaje maana sitaki hata kuimagine.

RIP mwamba JPM mungu ndo anayejua umeifanyie nini Tanzania maana wanadamu ni wasahaurifu
 
Ni mtizamo tu ila wa kwangu wa kwanza ni jembe JPM hivi imagine bila bwawa la mwalimu Nyerere tatizo la umeme Tanzania sijui lingekuaje maana sitaki hata kuimagine.
Unawezaje kumuweka wa kwanza JPM alafu ukamuweka pembeni JK Nyerere, muasisi wa project. Na umesema kabisa "bwawa la Mwalimu Nyerere".
 
Hii list sababu umetoa wewe tuseme ni mawazo yako....ila imekaa ki NGUMBARU GUMBARU SANA
....sio ya kisomi.....
Kwanini mnapenda watu wote wafanane. Ameamini wasomi wengi hawatumii akili zao wanatumia akili za wengine. kwani alichokiandika hukukierewa unataka aandike kama ulivyo kalilishwa shule
 
Huyu hajui hata kulist kaandika kishamba sana ilibidi aseme siasa ni hawa.... mabondia hawa... fashion ni hawa... kwenye music ni hawa.... biashara na uchumi hawa....ulinzi hawa....wanasayansi hawa....

Sasa ndugu kachanganya watu wa sector zote. ..NGUMBARU KWELI HUYU JAMAA MSHAMBA MSHAMBA MWANDISHI
Acha kukalili
 
List Yangu ya Watanzania Bora ishirini waliowahi kuishi na ambao wapo hai,ambao kwa kupitia vipaji vyao au Elimu wametoa mchango chanya Kwa Jamii ya Tanzania,.

kumbuka haya ni maoni binafsi tu

1: Julius Kambarage Nyerere
2:Shabban Robert.
3:Reginald Mengi
4:Mbwana Samatta
5:King Majuto
6: Christopher Mtikila
7 P Funky Majani
8:Issa Shivji
9:Tindu Lissu
10:Said Bakheressa
11:Steven Kanumba
12:Joseph Mbilinyi(Sugu)
13:Maalim Seif Hamad
14:Filbert Bay
15:Ruge mutahaba
16:Ali Hassan Mwinyi
17:Nancy Sumari
18 PHILIP NERI NDUNGURU
19:Bibi Titi Mohamed
20:Rashid Matumla(Snake Boy)
Hata baba yako hujamuweka!!???

Adabu hauna kabisa
 
Narudia tena hii list imekaa KI LASABA LASABA SANA ..yaani umechanganya wanasiasa wafanyabiashara ..mipira ngumi.....

Ungeandika hawa upande wa siasa

Michezo, fashion, labda uandishi ungeeleweka

Ndo maana nasema hii list ya KI LASABA LASABA SANA au wewe ni la saba hujui ku grade watu
Hapana. List haijakaa kilasaba. Tena anajitahidi sana. Ila namshauri amtoe Tundu Lissu na kukuweka wewe.
 
Huyo namba 18 R.I.P alikua na kipaji kikubwa sana akichora katuni kwenye gazeti la sani,

Alifariki akiwa na umri wa miaka 24 tu.
 
Huyu hajui hata kulist kaandika kishamba sana ilibidi aseme siasa ni hawa.... mabondia hawa... fashion ni hawa... kwenye music ni hawa.... biashara na uchumi hawa....ulinzi hawa....wanasayansi hawa....

Sasa ndugu kachanganya watu wa sector zote. ..NGUMBARU KWELI HUYU JAMAA MSHAMBA MSHAMBA MWANDISHI
Dogo kifupi huna akili kaa tulia namavyeti yako
 
List Yangu ya Watanzania Bora ishirini waliowahi kuishi na ambao wapo hai,ambao kwa kupitia vipaji vyao au Elimu wametoa mchango chanya Kwa Jamii ya Tanzania,.

kumbuka haya ni maoni binafsi tu

1: Julius Kambarage Nyerere
2:Shabban Robert.
3:Reginald Mengi
4:Mbwana Samatta
5:King Majuto
6: Christopher Mtikila
7 P Funky Majani
8:Issa Shivji
9:Tindu Lissu
10:Said Bakheressa
11:Steven Kanumba
12:Joseph Mbilinyi(Sugu)
13:Maalim Seif Hamad
14:Filbert Bay
15:Ruge mutahaba
16:Ali Hassan Mwinyi
17:Nancy Sumari
18 PHILIP NERI NDUNGURU
19:Bibi Titi Mohamed
20:Rashid Matumla(Snake Boy)
Umejitahidi ila inahitaji marekebisho kidogo.
1. Mtoe Tundu Lissu weka Mama Samia Suluhu Hassan
2. Mtoe Nancy weka Jokate Mwegelo
3. Mtoe Issa Shivji weka Phillip Mangula
4. Mtoe Mwinyi mweke Magufuli.... binafsi nauchukia sana utawala dhalimu wa awamu ya 5 ila kwa upande mwingine ilihitajika akili ya uwendawazimu kufanya baadhi ya maamuzi magumu kwa manufaa ya taifa. Kwa mfano ujenzi wa bwawa la umeme ilikuwa uamuzi mgumu sana uliohitaji mtu ambaye kajitoa sadaka.
 
Umejitahidi ila inahitaji marekebisho kidogo.
1. Mtoe Tundu Lissu weka Mama Samia Suluhu Hassan
2. Mtoe Nancy weka Jokate Mwegelo
3. Mtoe Issa Shivji weka Phillip Mangula
4. Mtoe Mwinyi mweke Magufuli.... binafsi nauchukia sana utawala dhalimu wa awamu ya 5 ila kwa upande mwingine ilihitajika akili ya uwendawazimu kufanya baadhi ya maamuzi magumu kwa manufaa ya taifa. Kwa mfano ujenzi wa bwawa la umeme ilikuwa uamuzi mgumu sana uliohitaji mtu ambaye kajitoa sadaka.
We jamaa yan unataka tuwaweke machawa kwamba tanzanian greatest
 
Back
Top Bottom