20 Greatest Tanzanians Of All Time

20 Greatest Tanzanians Of All Time

Mimi naona tuwapange kwa hela tu, haiwezekani Samia na Mwinyi nao wawe bora wakati tayar kuna kina Nyerere na JPM hapo kwenye siasa. Samatta huyu asie na impact angali hai ni bora kuliko Lisu?

Alichosema member pale juu kwamba bila kuspecify sector na list yake hii kaz itakua ngumu na ya kiswahili how comes Samatta yuko juu ya Abeid Aman Karume akili gani hii?

SAMIA ni bora sababu ndio mwanamke pekee aliyeshika vyeo vya juu kiserikali kuliko wanawake wote Tanzania.

Hata kama Samia hasingekuwa Rais bado ningemuweka kwa cheo chake cha nyuma cha makamu wa rais. Hakuna mwanamke aliyefikia.

Tatu bora ya wanawake waliofanikiwa tanzania yote nimeiweka hapo.

1. SAMIA sababu ya vyeo vyake kiserikali
2. MAMA LWAKATARE sababu ya mafanikio yake kibiashara
3. RUTH ZAIPUNA sababu ya mafanikio yake kwenye corporate level.

Mzee mwinyi nimemuweka pia sababu amekuwa Rais nchi zote 2. Zinazounda Tanzania.

Amekuwa Rais zanzibar na amekuwa Rais wa Tanzania. Hivyo lazima awemo
 
List Yangu ya Watanzania Bora ishirini waliowahi kuishi na ambao wapo hai,ambao kwa kupitia vipaji vyao au Elimu wametoa mchango chanya Kwa Jamii ya Tanzania,.

kumbuka haya ni maoni binafsi tu

1: Julius Kambarage Nyerere
2:Shabban Robert.
3:Reginald Mengi
4:Mbwana Samatta
5:King Majuto
6: Christopher Mtikila
7 P Funky Majani
8:Issa Shivji
9:Tindu Lissu
10:Said Bakheressa
11:Steven Kanumba
12:Joseph Mbilinyi(Sugu)
13:Maalim Seif Hamad
14:Filbert Bay
15:Ruge mutahaba
16:Ali Hassan Mwinyi
17:Nancy Sumari
18 PHILIP NERI NDUNGURU
19:Bibi Titi Mohamed
20:Rashid Matumla(Snake Boy)
Hii listi bila ya MAGUFULI kuwa namba moja ni BATILI
 
Au kila mtu atoe list yake wanao jirudia mara nying ndo tuwaweke kweny list ya pamoja
 
Hii ndio 20 bora yangu

1. JULIUS NYERERE
2.JOSEPH MAGUFULI
3.JAKAYA KIKWETE
4.SAMIA SULUHU HASSAN
5. ALI HASSAN MWINYI
6.GETRUDE LWAKATARE
7.RUGE MUTAHABA.
8.DIAMOND PLUTNUMZ.
9.MBWANA SAMATTA
10. FREEMAN MBOWE
11.CHARLES KIMEI
12.REGINALD MENGI
13. SAID SALIM BAKHRESSA
14. MOHAMMED DEWJI
15. RUTH ZAIPUNA CEO NMB
16.ERNEST MASSAWE OWNER EY TZ
17.CHIFU MKWAWA
18. KINJEKITILE MAJI MAJI WAR
19. ABED AMANI KARUME
20. BIBI TITI MOHAMMED

Yaani wewe ndo umetoa masokolo

Afadhali hata ya mtoa mada..

Haya kila mtu atoe ya kwake akabandike Jikoni ..housegirl na watoto wawe wanazisoma (hawa ndo watu mashuhuri wa muda wote Tanzania kwa mujibu wa baba)
 
Yaani wewe ndo umetoa masokolo

Afadhali hata ya mtoa mada..

Haya kila mtu atoe ya kwake akabandike Jikoni ..housegirl na watoto wawe wanazisoma (hawa ndo watu mashuhuri wa muda wote Tanzania kwa mujibu wa baba)

niambie ni nani na nani nimewasahau ambao wanawapita hao watu katika mafanikio na hata katika mchango wao kwa hili Taifa la Tanzania
 
Yaani shida JAMII FORUM SIKU HIZI WASOMI WACHACHE SANA MAJAMAA KAMA HAYA YA FACEBOOK YAMEKUJA HUKU .. toka lini uliona unachanganya kada unasema ndo wameleta impact ilibidi iwe hivi..
Music .watu wake labda watano
Siasa watu wake
Sayansi watu wake
Ulinzi watu wake
Sheria na katiba.....
SHIDA MNADHANI JAMII FORUM NI FACEBOOK KWA WASHAMBA HUMU KUWA WASOMI SIO NGUMBARU KAMA WEWE NA MWANDISHI
Relax mkuu usije pata depression bure ,always jitahidi usome mada ili uelewe na SIO kuuliza maswali
 
List Yangu ya Watanzania Bora ishirini waliowahi kuishi na ambao wapo hai,ambao kwa kupitia vipaji vyao au Elimu wametoa mchango chanya Kwa Jamii ya Tanzania,.

kumbuka haya ni maoni binafsi tu

1: Julius Kambarage Nyerere
2:Shabban Robert.
3:Reginald Mengi
4:Mbwana Samatta
5:King Majuto
6: Christopher Mtikila
7 P Funky Majani
8:Issa Shivji
9:Tindu Lissu
10:Said Bakheressa
11:Steven Kanumba
12:Joseph Mbilinyi(Sugu)
13:Maalim Seif Hamad
14:Filbert Bay
15:Ruge mutahaba
16:Ali Hassan Mwinyi
17:Nancy Sumari
18 PHILIP NERI NDUNGURU
19:Bibi Titi Mohamed
20:Rashid Matumla(Snake Boy)
Kwenye list ya watu muhimu kwako ulitakiwa uanze na wewe mwenyewe!

Yaani unaamini Nance Sumari ni muhimu kuliko we mwenyewe?
 
Huyu hajui hata kulist kaandika kishamba sana ilibidi aseme siasa ni hawa.... mabondia hawa... fashion ni hawa... kwenye music ni hawa.... biashara na uchumi hawa....ulinzi hawa....wanasayansi hawa....

Sasa ndugu kachanganya watu wa sector zote. ..NGUMBARU KWELI HUYU JAMAA MSHAMBA MSHAMBA MWANDISHI
Yeyw kajumlisha wewe toa list yako.
 
List Yangu ya Watanzania Bora ishirini waliowahi kuishi na ambao wapo hai,ambao kwa kupitia vipaji vyao au Elimu wametoa mchango chanya Kwa Jamii ya Tanzania,.

kumbuka haya ni maoni binafsi tu

1: Julius Kambarage Nyerere
2:Shabban Robert.
3:Reginald Mengi
4:Mbwana Samatta
5:King Majuto
6: Christopher Mtikila
7 P Funky Majani
8:Issa Shivji
9:Tindu Lissu
10:Said Bakheressa
11:Steven Kanumba
12:Joseph Mbilinyi(Sugu)
13:Maalim Seif Hamad
14:Filbert Bay
15:Ruge mutahaba
16:Ali Hassan Mwinyi
17:Nancy Sumari
18 PHILIP NERI NDUNGURU
19:Bibi Titi Mohamed
20:Rashid Matumla(Snake Boy)
🤝
 
List Yangu ya Watanzania Bora ishirini waliowahi kuishi na ambao wapo hai,ambao kwa kupitia vipaji vyao au Elimu wametoa mchango chanya Kwa Jamii ya Tanzania,.

kumbuka haya ni maoni binafsi tu

1: Julius Kambarage Nyerere
2:Shabban Robert.
3:Reginald Mengi
4:Mbwana Samatta
5:King Majuto
6: Christopher Mtikila
7 P Funky Majani
8:Issa Shivji
9:Tindu Lissu
10:Said Bakheressa
11:Steven Kanumba
12:Joseph Mbilinyi(Sugu)
13:Maalim Seif Hamad
14:Filbert Bay
15:Ruge mutahaba
16:Ali Hassan Mwinyi
17:Nancy Sumari
18 PHILIP NERI NDUNGURU
19:Bibi Titi Mohamed
20:Rashid Matumla(Snake Boy)
Kwamba YANGA haimo? Umerogwa
 
List Yangu ya Watanzania Bora ishirini waliowahi kuishi na ambao wapo hai,ambao kwa kupitia vipaji vyao au Elimu wametoa mchango chanya Kwa Jamii ya Tanzania,.

kumbuka haya ni maoni binafsi tu

1: Julius Kambarage Nyerere
2:Shabban Robert.
3:Reginald Mengi
4:Mbwana Samatta
5:King Majuto
6: Christopher Mtikila
7 P Funky Majani
8:Issa Shivji
9:Tindu Lissu
10:Said Bakheressa
11:Steven Kanumba
12:Joseph Mbilinyi(Sugu)
13:Maalim Seif Hamad
14:Filbert Bay
15:Ruge mutahaba
16:Ali Hassan Mwinyi
17:Nancy Sumari
18 PHILIP NERI NDUNGURU
19:Bibi Titi Mohamed
20:Rashid Matumla(Snake Boy)
Tafuta wenye akili wakushauri tena....List usingechanganya Politician, Comediani etc etc
 
Back
Top Bottom