ki ukweli wana jf uyu jamaa noma na kafunika mimi binasfi nilianza kumjua pale alipo wafungua masikio ma balozi wa njee kwa nyimbo inayo muelezea kijana wa tanzania alivyo choka na maisha ya kunga(kijani ukumcheki) unga hadi wakabidi wamulize preznt, pili mama nema, tatu mane mane,nnr bange, malumbano, na tamaa mbaya kiukweli ni ushindi kweyu sote kutokana na kuelimisha jamii na kueleza reality ya maisha ya wengi vijana wa Tz yani ma SHALOBALO SHEM UPON THEM kwa vijinimbo vyao vya kusadikika na kufikilika( mpenz jini,mpenz fulani yani jina tu ninabadilika maneno yote yale yale, kuonyesha wanaisha kifahali wakati walio wengi tunawafahamu ni ziki tu zinawaandama(si tondo ccm, mtoto wa jk nk):angry: