20 Percent: Kiko wapi hiki kichwa?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Wana bodi naomba kujuzwa mwenye taarifa za wapi alipo na kama bado anajihusisha na tasnia ya Mziki msanii huyu mwenye kipaji cha hali ya juu alitushika kwa vibao vyake kadhaa kama ya nini MALUMBANO. Mara ya mwisho kumsikia ni 2013.
 
Jamaa ni msanii mwenye kipaji sema pombe na marafiki aliokuwa anashinda nao ndio walimpoteza kwenye ramani ya bongofleva
 
20% anaozea jela congo, alikamatwa na bwimbi aka powder akivuka nalo boda. ...He is behind bar doing xxyrs in prison.
 
Man Water amemchukua 20% mara nyingine tena.. Tarajieni hits songs toka kwa asilimia 20.
 
Jamaa ni msanii mwenye kipaji sema pombe na marafiki aliokuwa anashinda nao ndio walimpoteza kwenye ramani ya bongofleva


Naona mbunge anarembua macho tu. Sijui kwenye hiyo chupa amezimulia viroba!
 
Anarejea nimemuona Jana akihojiwa.!
 
Aache usela wa kijinga afanye mziki, na uhakika man water atamrudisha ktk gem
 
Yaani huyu Polisi jamii Afande Sele haoni kama kavaa miguuni papa na nguru?
Ndio kiyoo cha jamiii uyo? Dah anyway anatuwakilisha watz kwa hilo.Ila nadhani itakua ili midude imepanda kichwani ye anaona kavaa simple white chata ya nike
 
Wana bodi naomba kujuzwa mwenye taarifa za wapi alipo na kama bado anajihusisha na tasnia ya Mziki msanii huyu mwenye kipaji cha hali ya juu alitushika kwa vibao vyake kadhaa kama ya nini MALUMBANO. Mara ya mwisho kumsikia ni 2013.
Yupo jela dhamana unayo umsaidie?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…