Mpunumpunyenye
Senior Member
- Dec 7, 2011
- 114
- 50
Yaani unaenda kukopa hata hujui hizo pesa utaganyia nini???utaanguka tuu na nyumba itaenda
Ukipata fundi mzuri muaminifu unaweza jenga nyumba hata tatu na kuziuza kwa milioni 120 moja
Duu 200 ml kiongozi siku utapochukua usisahau kunitafuta
Nitamfundisha biashara nzuriakutafute eeh??halafu we utampa nini? ndugu umekua rahisi kiasi hicho sababu ya pesa??yaani dunia imejaa mashaka hii siku hizi we acha tu!