Mpunumpunyenye
Senior Member
- Dec 7, 2011
- 114
- 50
- Thread starter
-
- #21
Sasa mkuu hapa tunadanganyana asee haiwezekani bank wakupe mil200tsh bila makablasha wala biashara ya vipi utarejesha mkopo.
Otherwise hii ni story ya kupikwa tena imetoka jikoni kijiweni kwenu...
Hakunaga hii kitu ndg make benki hawaangalii tu thamani wala uzuri wa kajumba kako bali ni namna gani umejiandaa na sababu ya kukopa kwako.
Na uwe makini mkuu isijekuwa kuna mtu ndani ya hiyo benki katamani hicho kijumba akupokonye kiaina! Shaulilo....
Mbona mgumu kuelewa? Nimesema dhamana ninayo bank wamekagua na wamesema wanaweza nipa hadi mil 200 sasa ninachofanya sasahivi ni kufanya upembuzi yakinifu ni biashara ipi naweza kufanya ili niweze rudisha mkopo ambayo nikiandika proposal itawleweka