2003 Boeing 727-223 disappearance. Tukio la ndege kuibiwa ikiwa uwanjani na kupotelea kusikojulikana

2003 Boeing 727-223 disappearance. Tukio la ndege kuibiwa ikiwa uwanjani na kupotelea kusikojulikana

Kuna watu ni ma mafia, unaiba ndege?😀
Hahaha swala imefichwa wapi? Nakubaliana na wote waliosema labda atakuwa ameigongesha sehemu Africa au imedondoka baharini.
Binadamu bado hatujafikia level kubwa ya kiteknolojia yakuweza kudetect vitu especially metal things ambavyo ni very viable and feasable
 
Kwani air Malaysia iko wap na imepotea hivi karibuni kukiwa na rada kila sehem
Haya mambo haya
Haya ndio mambo yanayoishangaza dunia, lakini naimani kuna mataifa watakuwa wanataarifa kamili na issue iko very classified kutokana na package iliyokuwemo ndani ya ile ndege. Ni kwa amani ya dunia ni bora ikabaki haijulikani kuliko ingejulikana
 
Sipati picha Air Tanzania kuibiwa kutokana na malimbikizo ya madeni.

Nadhani atatafuta yule bibi wa babati, aliogombezwa kidogo tu na konda akakasirika mpaka bus likagoma kuwaka, sukuma sukuma na wewe, piga staster starter na wewe mpaka battery low na self ikataka kufa, fungua engine gear box mpaka sight-mirro na end-cator. Ngoma bila bila, chuma ikagoma.

Alipoombwa msamaha kisawasawa na - abiria wote/dereva/konda/police/wapiga debe/mama ntilie/machinga - bibi hasira zikaisha na hali ndio ikawashwari, safari ikaendelea.
Kuishi kwingi [emoji28][emoji28]
 
MAMBO MENGINE UNAWEZA KUTA WANAFANYA WAHUSIKA WENYEWE ILI KUPATA ACCESS YA KUINGIA SEHEMU FULANI KWA KIGEZO CHA KUITAFUTA NDEGE KWA SABABU WANAZOZIJUA WAO
Hii nayo point[emoji375][emoji375]
 
Ya Dr. Cooper hii pamoja na Ile ya Malaysia zinathibitisha kabisa kuwa pamoja tunasema teknolojia iko vizuri lakini kuna muda zinashindwa kutoa majibu sahihi kwa maswali ambayo binadamu tunajiuliza.
Kuna NGUVU kubwa sana isiyowezekanika kwa sayansi na teknolojia zetu.
Nasubiri wanasayansi watupe majibu ya Yule dada aliyezaa kuku Kigoma
 
Kuna NGUVU kubwa sana isiyowezekanika kwa sayansi na teknolojia zetu.
Nasubiri wanasayansi watupe majibu ya Yule dada aliyezaa kuku Kigoma
Kwa issue hii utapata majibu ya sayansi ya asili tu. Wazungu can't have an explanation about it mkuu😆😆
 
Sipati picha Air Tanzania kuibiwa kutokana na malimbikizo ya madeni.

Nadhani atatafuta yule bibi wa babati, aliogombezwa kidogo tu na konda akakasirika mpaka bus likagoma kuwaka, sukuma sukuma na wewe, piga staster starter na wewe mpaka battery low na self ikataka kufa, fungua engine gear box mpaka sight-mirro na end-cator. Ngoma bila bila, chuma ikagoma.

Alipoombwa msamaha kisawasawa na - abiria wote/dereva/konda/police/wapiga debe/mama ntilie/machinga - bibi hasira zikaisha na hali ndio ikawashwari, safari ikaendelea.
Walijuaje kama yeye ndio sababu ya gari kugoma kuwaka?😆
 
hao wezi ndio vidume,sio hawa vibaka wanaokuja mitaani kutuibia vi vitz vyetu
 
Apo kuna siri imefichwa haiwezekan wasijue ilipo kutokana na technolojia maana ilitua uwanjan tu
 
MAMBO MENGINE UNAWEZA KUTA WANAFANYA WAHUSIKA WENYEWE ILI KUPATA ACCESS YA KUINGIA SEHEMU FULANI KWA KIGEZO CHA KUITAFUTA NDEGE KWA SABABU WANAZOZIJUA WAO
Na kwel FBI na CIA apo walishaingia mpk CUBA kwa fidel castro kisa ndege imepotea
 
Back
Top Bottom