2006 Coca-pepsi (cola) vicious trade war & corporate espionage: Secretary wa COCA-COLA alivyoiba "highly classified documents" kwenda kuwauzia PEPSI

2006 Coca-pepsi (cola) vicious trade war & corporate espionage: Secretary wa COCA-COLA alivyoiba "highly classified documents" kwenda kuwauzia PEPSI

Asante pia. Mungu angetaka tuzaliwe Marekani au Uingereza asingeshindwa. Aliruhusu sisi tuzaliwe Tanzania kwa maana ana malengo yake kaka.
Naam Mkuu, Nakubaliana na wewe.
=====
Nikirejea kwenye mada iliyomezani.

Tukio hili limenifanya niyaangalie makampuni haya kwa jicho lingine kabisa. Kwanza mwanzoni, nilikuwa najua kampuni ya Pepsi ni kampuni ya wahindi. Yaani sielewi imani hii niliipata wapi. Lakini baadaye nikaja kujua kuwa Pepsi ni kampuni ya kimarekani.

Huyu dada(katibu muhitasi), aliyetaka 'kuuza siri' za kampuni ya Coca Cola, mimi nadhani kuna ujumbe alikuwa anataka kuupa ulimwengu lakini Ulimwengu ukajikuta unashindwa uulewa ujumbe huo. Mimi kifikra naona huyo dada alitaka kuoonyesha ulimwengu kuwa hizi kampuni mbili zinauchezea ulimwengu viini macho.

Inaonekana kabisa alitaka kuuonyesha ulimwengu kuwa hizi kampuni si mbili bali ni moja. Mmiliki wake ni mmoja!! Usishangae!! Yawezekana kabisa kampuni kwenye vitabu hata majina yakawa tofauti lakini ukweli ni kampuni moja. Na hii hapa Coca Cola na Pepsi cola inawezekana pia ni matawi ya kampuni na mmiliki mmoja hasiyejulikana!! Wewe endelea kushangaa tu!! Habibu B. Anga katika makala zake hapa JF aliwahi kueleza jambo hili; hasa ukirejea makala yake iliyokuwa inaelezea 'maoligachi wa Russia'. Ipitie kwa makini makala ile.

Inawezekana kabisa hii kampuni isiyojulikana yenye matawi ya Coca na Pepsi, ilifanikiwa kung'amua mapema tabia ya wanadamu ya kupenda kuchagua ama kulinganisha mambo na hata vitu ili achague jambo ama kitu anachokitaka. Na huu ndiyo ukweli ukienda duka la rejareja lenye aina moja tu ya bidhaa hujisikii sana kutumia duka hilo zaidi utaenda kwenye duka lenye mchanganyiko wa bidhaa mbalimbali hata kama idadi ya bidhaa ya duka ilo ni ndogo kuliko idadi ya bidhaa kwenye duka lenye aina moja ya bidhaa (huu ndiyo uzoefu wangu utakuwa na wa kwako pia). Sasa ili kuendelea kuwakamata wateja wa vinywaji baridi, basi kampuni hii isiyojulikana iliamua kujibadilisha na kuwa na matawi mawili yenye majina yanayojulika na kuoneka ni kampuni mbili tofauti zinazojitegemea. Na mmiliki huyu asiyejulikana akahimiza matawi yake haya yaendelea kutengeneza bidhaa tofauti (brand mbali mbali za vinywaji) ili kuendelea kuwakamata wanadamu na tamaa yao ya kupenda kuchagua.

Kwa kesi hii, mara moja ilitakiwa uchunguzi uanzishwe kumpata mmiliki anayewachezea watoza kodi wa nchi husika katika kuhadaa mfumo wa utozaji kodi.
====
Ni hiyari yako kueleza kuwa hii ni "conspiracy theory "ama la. Hivi kiswahili cha conspiracy theory ni nini?
 
Nikirejea kwenye mada iliyomezani.

Tukio hili limenifanya niyaangalie makampuni haya kwa jicho lingine kabisa. Kwanza mwanzoni, nilikuwa najua kampuni ya Pepsi ni kampuni ya wahindi. Yaani sielewi imani hii niliipata wapi. Lakini baadaye nikaja kujua kuwa Pepsi ni kampuni ya kimarekani.

Huyu dada(katibu muhitasi), aliyetaka 'kuuza siri' za kampuni ya Coca Cola, mimi nadhani kuna ujumbe alikuwa anataka kuupa ulimwengu lakini Ulimwengu ukajikuta unashindwa uulewa ujumbe huo. Mimi kifikra naona huyo dada alitaka kuoonyesha ulimwengu kuwa hizi kampuni mbili zinauchezea ulimwengu viini macho.

Inaonekana kabisa alitaka kuuonyesha ulimwengu kuwa hizi kampuni si mbili bali ni moja. Mmiliki wake ni mmoja!! Usishangae!! Yawezekana kabisa kampuni kwenye vitabu hata majina yakawa tofauti lakini ukweli ni kampuni moja. Na hii hapa Coca Cola na Pepsi cola inawezekana pia ni matawi ya kampuni na mmiliki mmoja hasiyejulikana!! Wewe endelea kushangaa tu!! @Habibu B. Anga katika makala zake hapa JF aliwahi kueleza jambo hili; hasa ukirejea makala yake iliyokuwa inaelezea 'maoligachi wa Russia'. Ipitie kwa makini makala ile.

Inawezekana kabisa hii kampuni isiyojulikana yenye matawi ya Coca na Pepsi, ilifanikiwa kung'amua mapema tabia ya wanadamu ya kupenda kuchagua ama kulinganisha mambo na hata vitu ili achague jambo ama kitu anachokitaka. Na huu ndiyo ukweli ukienda duka la rejareja lenye aina moja tu ya bidhaa hujisikii sana kutumia duka hilo zaidi utaenda kwenye duka lenye mchanganyiko wa bidhaa mbalimbali hata kama idadi ya bidhaa ya duka ilo ni ndogo kuliko idadi ya bidhaa kwenye duka lenye aina moja ya bidhaa (huu ndiyo uzoefu wangu utakuwa na wa kwako pia). Sasa ili kuendelea kuwakamata wateja wa vinywaji baridi, basi kampuni hii isiyojulikana iliamua kujibadilisha na kuwa na matawi mawili yenye majina yanayojulika na kuoneka ni kampuni mbili tofauti zinazojitegemea. Na mmiliki huyu asiyejulikana akahimiza matawi yake haya yaendelea kutengeneza bidhaa tofauti (brand mbali mbali za vinywaji) ili kuendelea kuwakamata wanadamu na tamaa yao ya kupenda kuchagua.

Kwa kesi hii, mara moja ilitakiwa uchunguzi uanzishwe kumpata mmiliki anayewachezea watoza kodi wa nchi husika katika kuhadaa mfumo wa utozaji kodi.
Umefafanua vizuri sana katika suala mzee baba. Thanks@
 
Back
Top Bottom