Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Anza kwa kutuamkia dogo2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? [emoji23][emoji23][emoji23]
Shikamoooo nilisahau ππAnza kwa kutuamkia dogo
Nlikuwa chuo mwaka wa pili
Ww ulijuaje sasa ππWazazi wangu walikuwa hata hawajuani.
Kumbe na ww ni dogo πππDarasa la 3
Mwaka wa ngapiChuoni buhare
Shenzi kabisa πππ kwahiyo unataka kusemajeKumbe ndio maana hatutakiwi kubishana sana, maana wengine hata maziwa hayajakauka
Duh kumbe uhuni hujaanza jana, watu kama ninyi ndio mnafaa kuitwa wahuni sio hawa wanaosokota nyweleNi shule tu nilichelewa mi niliwahi kugombania dem na mwalim mkuu tukasuluhishwa
Duh madogo tupo wengi sana kumbeNaingia la kwanza
Ndio nishamaliza shenziShenzi kabisa πππ kwahiyo unataka kusemaje
Ndio nishamaliza shenzi
Ww ulibeba kadi yangu ya clinic ππKumbe nimeenda age aise. Mtoto wa 2009 anatumia jamii forumsπ€ yaani ata jf ni kwongwe kupita mtumiaji
Duh mkongwe kidogDarasa la 5 aisee