Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #181
Ila siyo mbaya hela ya wavuvi kempu ukosiSina mipesa kiongozi tunaendesha maisha kama wananchi wa kawaida sana
Tulipiga wote NECTA mwaka huuElo wai[emoji1787]
Aaah unatuuza wwNa tunaish kuna chalii nimemkuta some where anakula chips nikiangalia simu pembeni yuupo jf nikawa namvizia accoment nijue Id yyake kuja kuangalia ase si ndio wakwaza kukemea wanaume tusile chips ase nimecheka sana sema sitak kumtaja
Acha utan
Mtoto wa kishua wwhahaha nilikuwa boarding toka la tatu ,
Bado nipo nipo sana tuu, ukija shambani ntakupokea, angalia nimeanza lini kutumia JF. Alafu hapo nyuma nilikuwa km guest siyo member.Tuna kula lini mafao ya NSSF
hamna , kudandia tu .Mtoto wa kishua ww
Ndugu zangu walikuja kunipokea, Kwa hiyo sikupata shida sana. Imagine Azania ipo town kabisa lkn ilibidi nipelekwe, nikaambiwa hii ndo shule uliyochaguliwa [emoji3]Ilikuwaje ulipo fika ubongo ukupotes najua hapo ulikuja na ushamba kutoka ludewa [emoji23][emoji23] tupe story kidogo
Kwahiyo ulitaka uende mwenyewe 😂Ndugu zangu walikuja kunipokea, Kwa hiyo sikupata shida sana. Imagine Azania ipo town kabisa lkn ilibidi nipelekwe, nikaambiwa hii ndo shule uliyochaguliwa [emoji3]
serikaliUlinunua nin cha maana
😁😳 Fake id zinaficha mengi 😁😁basi huwa najua wewe ni mzee flani hivi kumbe toto dogo tu
Hahaha.Na tunaish kuna chalii nimemkuta some where anakula chips nikiangalia simu pembeni yuupo jf nikawa namvizia accoment nijue Id yyake kuja kuangalia ase si ndio wakwaza kukemea wanaume tusile chips ase nimecheka sana sema sitak kumtaja
Hayajanikuta hata ninaokutana nao wote wazee wenzangu si wanawake wala wanaumeUmeongea kwa uchungu yakishakukuta? [emoji23][emoji23]
Imekaa vizuri kwahio sisi vijana tunao penda watu wa age kama yako unatuweka wapi?Hayajanikuta hata ninaokutana nao wote wazee wenzangu si wanawake wala wanaume
Aya bhna mzee wa BMWserikali
Uka amka mwaka gani?Nilikua nimelala