Nyaputo
Member
- Mar 23, 2023
- 67
- 158
Wakubwa shikamoni😂😂2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? 😂😂😂
Huu mwaka nilikua darasa la pili huko matimila
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakubwa shikamoni😂😂2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? 😂😂😂
Tena sio mwanao tu babu yakoDuh aisee kumbe we bado kijana kabsa. Kumbe unaweza kuwa unabishana na mwanao humu. Nilikuwa seco tayari zama hizi
Kweli hasa siyo utaniTupo na wajukuu zetu humu
Duh kumbe muhenga kidogForm one
Duh wewe wa 97 bila kukoseaWakubwa shikamoni😂😂
Huu mwaka nilikua darasa la pili huko matimila
Sio cLa pili A
😂😂 duh humu tuna wazazi wetu kabisaStd 6
Very young & naive
Ahahaa ulichelewa wapi?Aise nimeenda age sasa napaswa kubihave kama ningekua mtu wa kurukia madem fastafasta ungesoma darasa moja na mwanagu
😂😂Duh wewe wa 97 bila kukosea
Na ndio mwaka ulio nizaa mama kumbe ukumaliza shule 😂😂😂 au ulimaliza kimchongoForm 3
Ila ni dogo tu sema ndio ivyo😂😂
Sawa mkuu ndio mimi ni dogo 😂😂Ila ni dogo tu sema ndio
Kadogo wapande zipi 😂😂Sawa mkuu ndio mimi ni dogo 😂😂
Nilikuwa nakuchukulia mzee kumbe bado young
Ulitotolewa kwenye incubator 🤣🤣Na ndio mwaka ulio nizaa mama kumbe ukumaliza shule 😂😂😂 au ulimaliza kimchongo
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Nilikuwa nakuchukulia mzee kumbe bado young
Mama mbona unanifanyia ivyo 😂😂😂Ulitotolewa kwenye incubator 🤣🤣