2006 Ulikuwa wapi

Namaliza form four halafu nikamtia mimba frola akiwa form two Sasa hivi ni madamee anafundisha shule Moja ila amekuwa feminist na mtoto wetu now yupo form one.
Ahahhah kwahiyo huja oa uyo mwanamke
 
Yeah, ni kweli kabisa! Lazima akuhadithie, maana tulikula sana good time na shangazi yako! Wakati huo niko kwenye NGO mpunga ulikuwa mwingi!
Nasikia weqe ndio ulikuwa unaniletea yale maziwa ya coubel na ulinunua tv HITACH mpaka leo ipo
 
Ndiyo bwana JW ni mimi kabisa! Ukienda kumsalimia mwambie umekutana na uncle wako Manjagata huku!
Dah naahukuru kukutana ma ww uncle sasaincle ai inatakiwa kuwa nauli ya kwenda uko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…