Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahhah kwahiyo huja oa uyo mwanamkeNamaliza form four halafu nikamtia mimba frola akiwa form two Sasa hivi ni madamee anafundisha shule Moja ila amekuwa feminist na mtoto wetu now yupo form one.
Ww ndio uliishiwa mipango 😂😂😂Nilikuwa naua mbwa wasumbufu kule kijijini kwetu
Yeah, ni kweli kabisa! Lazima akuhadithie, maana tulikula sana good time na shangazi yako! Wakati huo niko kwenye NGO mpunga ulikuwa mwingi!Kumbe ww mjomba ndio alikuwa ananihadithia jana dah bora nimekupata
Ahahahha dogo mwingin huyu hapa 😂😂😂Nilikua nina 3yrs.
Huyo mtoto mbona kachelewa Shule.Namaliza form four halafu nikamtia mimba frola akiwa form two Sasa hivi ni madamee anafundisha shule Moja ila amekuwa feminist na mtoto wetu now yupo form one.
Nasikia weqe ndio ulikuwa unaniletea yale maziwa ya coubel na ulinunua tv HITACH mpaka leo ipoYeah, ni kweli kabisa! Lazima akuhadithie, maana tulikula sana good time na shangazi yako! Wakati huo niko kwenye NGO mpunga ulikuwa mwingi!
Kwahiyo ww lofa unataka salamu 😂😂😂We fala watakiwa uwe unatusalimia humu,
Ndiyo bwana JW ni mimi kabisa! Ukienda kumsalimia mwambie umekutana na uncle wako Manjagata huku!Nasikia weqe ndio ulikuwa unaniletea yale maziwa ya coubel na ulinunua tv HITACH mpaka leo ipo
WalikosaHuyo mtoto mbona kachelewa Shule.
Dah naahukuru kukutana ma ww uncle sasaincle ai inatakiwa kuwa nauli ya kwenda ukoNdiyo bwana JW ni mimi kabisa! Ukienda kumsalimia mwambie umekutana na uncle wako Manjagata huku!
Kopa popote ataenda akurudishie maana jana tu nimemtumia mpunga mrefu!Dah naahukuru kukutana ma ww uncle sasaincle ai inatakiwa kuwa nauli ya kwenda uko
Wewe sasa ni mjomba sioKopa popote ataenda akurudishie maana jana tu nimemtumia mpunga mrefu!
😁😁😁Wewe sasa ni mjomba sio
Uncle 😂😂😂
Marhaba mwanangu, coz first born wangu wa 2007Shikamoooo nilisahau [emoji23][emoji23]
Tena wa huko mureba choka mbaya 😂😂
Dingi unaendeleaje?Marhaba mwanangu, coz first born wangu wa 2007
Dingiii mbona unadevela sasaWakuu huu uzi wa watoto hebu tuachane nao