Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
-
- #501
Sasa hivi tunatengeneza walk of shame.
ππππheka heka za mtu mweusi tu.Oh ulienda kutembea au kusambaza sembe la mbeya [emoji23][emoji23][emoji23] jokes tu
Cape Town,
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]heka heka za mtu mweusi tu.
Kwenye kuzaliwa hapo! Mmmh! Kumbe kuna vimtu viduchu sana humu...2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? πππ
Mwaka wa2 chuo2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? πππ
Kitambo sanaDuh kumbe muhenga kidog
Kwenye kuzaliwa hapo! Mmmh! Kumbe kuna vimtu viduchu sana humu...
Ndio nilihitumu kidato cha sita kipindi hicho...
Mwaka wa2 chuo
Na vilivyo na makelele na ujuaji khaa!!Kwenye kuzaliwa hapo! Mmmh! Kumbe kuna vimtu viduchu sana humu...
Ndio nilihitumu kidato cha sita kipindi hicho...
Kitambo sana
Na vilivyo na makelele na ujuaji khaa!!
30's nowIla umekula chumvi si inakutosha sasaiv [emoji23][emoji23]
Ukonga Mombasa na ndio mwaka niliofungua duka langu binafsi baada ya kujimake
30's now
We acha tu! Bonge la Jina lkn kamtu sisimizi jina tembo πππNa vilivyo na makelele na ujuaji khaa!!
We acha tu! Bonge la Jina lkn kamtu sisimizi jina tembo [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapana duka lipo ila nilijichanganya nikaenda kusomaOngera sana kwa mapamban makali now najua una maduka makubwa sana