Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Wacha weee...!!! Wakati huo, Celtel ilikuwa inaonekana ni mtandao wa wenye nazo, na tiGo ni mtandao wa wanafunziAah shemelaa umenikumbusha line yangu ya celtel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha weee...!!! Wakati huo, Celtel ilikuwa inaonekana ni mtandao wa wenye nazo, na tiGo ni mtandao wa wanafunziAah shemelaa umenikumbusha line yangu ya celtel
Oa basi tuje kula ubwabwa oa mapema kabla baba ajastafuAkibeba mimba yangu baba ataniozesha maana ndo ugomvi wetu unapoanzia eti kama kazi umeshindwa kupata si uoe.....🤣🤣
Hapana mkuu. Sijasoma naye!Ulisoma nae? Ni kaka yangu first born
Sawa mkuu🙏Hapana mkuu. Sijasoma naye!
Nilikua PP 22006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? 😂😂😂
Keshastaafu anasema oa nikupe mtaji....namwambia anipe mtaji ndo nitaoa siwezi kula mtaji na mtoto wa mtu sahizi🤣🤣Oa basi tuje kula ubwabwa oa mapema kabla baba ajastafu
Nyani haoni nyuma kwakeKwanini usitoke kwenu 😂😂 unagombania ukoko na watot
Na nyie si mna mziki wenu 'amapiono' 😄 mimi baba yenu nawasikiliza the roots.Kwahiyo sisi watoto wako unataka tufanyeje 😂
Umeeandika kifupi sana refushaNilikua PP 2
😂😂😂 ngoja amalize hela za kustafuKeshastaafu anasema oa nikupe mtaji....namwambia anipe mtaji ndo nitaoa siwezi kula mtaji na mtoto wa mtu sahizi🤣🤣
Mimi nipo nyumbani kwani mama umenichoka kukaa hapa nyumbaniNyani haoni nyuma kwake
🤣🤣😅
Haziishi leo mie ndo mtunza card ya benki🤣🤣🤣😂😂😂 ngoja amalize hela za kustafu
Mimi napenda bolingo bhnaNa nyie si mna mziki wenu 'amapiono' 😄 mimi baba yenu nawasikiliza the roots.
Chizi kapewa lungu lete nikushikie iyo kadiHaziishi leo mie ndo mtunza card ya benki🤣🤣🤣
Chizi kapewa lunguu leteni niwatunzieHaziishi leo mie ndo mtunza card ya benki🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Wewe unataka umuibie pakubwa agundue?Chizi kapewa lungu lete nikushikie iyo kadi
😂😂😂 mimi nachukua ya vocha tu🤣🤣🤣🤣🤣Wewe unataka umuibie pakubwa agundue?
Kila weekend najichomolea sadaka na fungu la kumi
Thubutu...mie nimejiunga hadi kwaya ya vijana ili niweze kupata matumizi halali🤣🤣🤣😂😂😂 mimi nachukua ya vocha tu
Kwaya mimi pia naimba Mt kizito makubuli 😂😂Thubutu...mie nimejiunga hadi kwaya ya vijana ili niweze kupata matumizi halali🤣🤣🤣