HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
We fala watakiwa uwe unatusalimia humu,2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We fala watakiwa uwe unatusalimia humu,2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mbona huna akili?Anza kwa kutuamkia dogo
Nlikuwa chuo mwaka wa pili
Maana yake uko under 18Wazazi wangu walikuwa hata hawajuani.
Nilikuwa kwenye kende za mzee.
Aisee mwana maraChuoni buhare
Mtoa mada ana miaka 17Kumbe nimeenda age aise. Mtoto wa 2009 anatumia jamii forums[emoji848] yaani ata jf ni kwongwe kupita mtumiaji
Aiseee we utakuwa umezaliwa 92-94 hapoNilikuwa form one
Aiseee we utakuwa umezaliwa 92-94 hapo
Maana yake chuo umemaliza 2015 hadi 2017Humo humo
Mmi kubarehe kwenyewe nimebarehe wiki iliyo ishia haya unataka nizeesha?Wewe Johnnie Walker wewe hebu acha uongo, midevu ile umenyoa miaka zaidi hata 7. Leo useme umezaliwa 2006?
Kwa uongo huu nimeghairi, kukupa ile vocha ya buku 10...
Mimi ndio nilikuwa nazaliwa mama yangu Marcy muulize atakwambia mpaka leo nipo kwake ananifukuza nikapange lakin baba yangu anasema bado ni dogo 😂😂😅😅😅😅😅 Johnnie Walker akuje kwanza hapa...
Mimi siri yangu 😉 nikikumbuka nitaweka hapa.
Nakwambia njia ya kwenda Mbinguni, utakuwa unaichungulia tu haki tena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mmi kubarehe kwenyewe nimebarehe wiki iliyo ishia haya unataka nizeesha?
Mbona unataka kuniwekea viuzi wiki iliyo pita ndio nimeanza ota mdoto nyevu sasa utaki au njoo unikague 😂😂😂Nakwambia njia ya kwenda Mbinguni, utakuwa unaichungulia tu haki tena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe duh ongera sana uliupiga mwingi now utajenga nchiNilikuwa kozi ya uongozi mdogo Unguja,mtoni kipindi iko namiaka 24...
Wewe under 18 umeruhusiwa na nani kuingia humu? Kamwulize shangazi yako ndiye alikuwa mchepuko wangu! Wakati huo tayari niko kazini!😁😁2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? 😂😂😂
Oh kumbe duh watu mmeupiga mwingiNilikua nahitimu elimu ya msingi
Kumbe ww mjomba ndio alikuwa ananihadithia jana dah bora nimekupataWewe under 18 umeruhusiwa na nani kuingia humu? Kamwulize shangazi yako ndiye alikuwa mchepuko wangu! Wakati huo tayari niko kazini!😁😁