2006 Ulikuwa wapi

2006 Ulikuwa wapi

Hapana duka lipo ila nilijichanganya nikaenda kusoma
Siku zote nilikuwa na shauku ya kusoma nikaanza QT 2008 elimu haikunitenga as 2011 nikajoin Mzumbe na Sasa ni mtumishi wa umma
Naamini ningejikita kwenye biashara ningefika mbali ila sio kesi

Muhimu umepata kile ulichokuwa unakitama kupata
 
Si bora mimi. Wee unaejidai umezaliwa 2006 ndio unapenda ukubwa ?? [emoji23] na mindevu yote ile eti uwe wa 2006 thubutu yake.

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji23][emoji23][emoji23] sina ndevu mimi ndio kwaza nimetoka chunus juz tu acha kunizeesha

Mm type zangu vitoto vya shule sekondar uko ndio najipoozea unatak unibemende wewe
 
nilikuwa na jifunza gereji nikaweza nikaanza kusave hela sasa Nina gereji kibao na ufundi nimeacha
 
Wote hapa wanaosema walikuwa wamezaliwa , walikuwa wapo latano acheni uongo humu watu mumekomaa midhili ya kutisha hapa la tano my foot hapo wote mpo chuo au sekondary aiih ! Eti latatu my foot hata Mwachiluwi ulikuwa chuo au secondary msitufumbe machoo
 
Back
Top Bottom