senator
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 1,924
- 66
Unawasubiria wakichukua kombe uone ahadi zao zitatimizwa au?Mana mtu kama kapelo yeye shaka hana hata England wakitolewa first round tayari amejihakikishia kuwa na Timu mpaka 2012.I wish Jose angekuwa na timu moja ya Africa kuipa tough kwa kipindi hiki cha WC.
