2010 Subaru Forester - Habari ya mjini now

2010 Subaru Forester - Habari ya mjini now

Hi
Ninataka kununua subaru forester 2011.. Ushauri hasa katika matatizo yake na suluhu kwa anayefahamu


Sent using Jamii Forums mobile app

Naelewa ni gari nzuri na si pasua kichwa. Zisizo na Turbo zinatumia electric steering na za turbo zina hydraulic. Kuna fundi aliniambia zinazotumia hydraulic ni nzuri zaidi. Kwa hiyo unaweza kuanza kuulizia kama hizo za umeme sio tatizo (ndio ziko kwenye forester nyingi za kuanzia 2009).
Binafsi nadhani ni gari nzuri ukiacha hizo details ambazo kila gari unajuta lina issue zake.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona! sana upepo umeziangukia gari hizi! SUBARU FORESTER- Hizi gari nyingi ni za mwaka 2010, lakini hapa mjini now ndio zinaingia sana!
View attachment 1388996

View attachment 1388999

View attachment 1389000

View attachment 1389001


Actually kwa wale wenye plan za kununua magari recently sio mbaya sina hizi gari:

1-Engine capacity ni 2000cc - sio mbaya kwa matumizi binafsi
2- Zinatumia sana Petrol
3. Ndani pia muonekano wake sio mbaya- inaspace kubwa na inatosha
4- Speed ni balaa zimefika 240km/hr
5- Mostly ni Automatic

6- Price range ukiagiza unaweza pata from 16mil na kuendelea.
tafuta latest achana ya iyo
 
Back
Top Bottom