Of course! Manual transmission inasaidia kupata fuel economy mzuri kwenye magari mengi.
Cost of maintainance for manual transmission is cheap na zipo durableOf course! Manual transmission inasaidia kupata fuel economy mzuri kwenye magari mengi.
Cost of maintainance for manual transmission is cheap na zipo durable
Hi
Ninataka kununua subaru forester 2011.. Ushauri hasa katika matatizo yake na suluhu kwa anayefahamu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamkosekani nyie!! Hata kwenye VW Golf mnasema hivi..... Nissan Fuga hivihivi.... Nawashangaa hadi kwenye Subaru Impreza mpoHizi gari naona watu wakitumia mwezi tu wanauza, je zina shida gani?
Usiweke SH9 weka SH5 na mwaka tupia 2008
Pambana kwanza upate hata kavits,athlete sio kwa first ownersNapambana kupata ATHLETE
tafuta latest achana ya iyoNaona! sana upepo umeziangukia gari hizi! SUBARU FORESTER- Hizi gari nyingi ni za mwaka 2010, lakini hapa mjini now ndio zinaingia sana!
View attachment 1388996
View attachment 1388999
View attachment 1389000
View attachment 1389001
Actually kwa wale wenye plan za kununua magari recently sio mbaya sina hizi gari:
1-Engine capacity ni 2000cc - sio mbaya kwa matumizi binafsi
2- Zinatumia sana Petrol
3. Ndani pia muonekano wake sio mbaya- inaspace kubwa na inatosha
4- Speed ni balaa zimefika 240km/hr
5- Mostly ni Automatic
6- Price range ukiagiza unaweza pata from 16mil na kuendelea.
Mkuu nina gx110 mwaka wa saba sasaPambana kwanza upate hata kavits,athlete sio kwa first owners
Chuma hakiptwagi na fashion hicho.Mkuu nina gx110 mwaka wa saba sasa
Latest ndio ipi mzee baba?tafuta latest achana ya iyo
iyo na creaster new model vp? naionaga ni gari ya kawaida sanaaChuma hakiptwagi na fashion hicho.
OkayPambana kwanza upate hata kavits,athlete sio kwa first owners
Umechagua ya bei sana. CIF $8000 hizo hela unaokota?! Gari isizidi CIF $4000