Equitorial Guinea 0-0 SENEGAL dakika ya 60 ngma nzito sana, hawa jamaa niliwapa karata yangu Senegal wakikaa vibaya wanaweza toka aisee
Nilisema hizi timu zenye masuperstar wala hazifiki mbali, haya wa kwanza Senegal huyo bye bye. Na wengine wanafuata, wachezaji wa kulipwa huwa hawana uzalendo.Equitorial Guinea 0-0 SENEGAL dakika ya 60 ngma nzito sana, hawa jamaa niliwapa karata yangu Senegal wakikaa vibaya wanaweza toka aisee
Nilimmiss sana Ba Newcastlee...bora arudi kuinogesha league!!Nilisema hizi timu zenye masuperstar wala hazifiki mbali, haya wa kwanza Senegal huyo bye bye. Na wengine wanafuata, wachezaji wa kulipwa huwa hawana uzalendo.
Sudanese national anthem is in playlist...
Goal mhm
endelea kutujuza wengine tunapata matokeo hapa JF
sasa nani kafunga au sio goal
Muawia fouls agains Aerosa, frekick Angola's way.