Dk ya 30 na 31 kila timu inakosa goli. lakini zambia ndio walitengenza nafasi nzuri zaidi . Bao ni bila bila . Nimemkumbuka mtangazaji wa enzi zile anaitwa domick chilambo (RIP) na wana tupwisa lindanda pamba
Dk 45
Ni mapumziko timu ziinakwenda kupata mawadha ya walimu zikiwa zimetoshana nguvu . wasikiliz e wazamni n tukasome habari pressure ya migomo ya madkari na posho za waaunge kwenye majukwaa mengine. Tutarudi kuleta matangzo baada ya dk 15
Ohhh dk 52
ghana wanakosa goli kutokan na indirect kick iliyochongwa kutoka upande wa kushoto. Beki wao kashindwa kusukuma mpira kwa kichwa kufunga goli na mpira umepaa juu .........