Hongera sana wajomba zangu bcoz my mom is a bemba from Zambia!
0-0 mpaka sasa!ivory coast wanagongesha mwamba kwa mara ya pili!
Dk ya 15
Naona kati kati mali wamezidiwa. mwamba kwa mara ya pili . Source MC tilly lol
Zamu yake sasa.Itz all over. Zambia 1 -0 Ghana. Gyan tears coming down to his face. Ghana are out.