2012 African Cup of Nations.


Zambia prepare for Ivory Coast showdown

Africa Cup of Nations finalists Zambia have arrived in Gabon ahead of Sunday's final against Ivory Coast. Gabon is a country associated with the darkest day in Zambian football history when a 1993 plane crash killed 18 Zambian footballers off the country's coast. Now the team is hoping for a fairytale ending to their run in the competition, when a new continental champion will be crowned on Sunday.
 
Last edited by a moderator:
Muda s mrefu kuna mchi kati ya ghana na Mali kutafutwa "mshindwa" wa tatu. Nadani AFco wafanya mabadiliko hii mechi wafute haina maana wala mvuto.

Hapa studio bado hatujapata wadhamini kuwezesha kuwaleta mecho moja kwa moja wa lugha maandishi. lol
kama kawa kwa wenye net nzuri na wako mbali na big screen wanaweza tazama mechi Hiyo kwa kompyuta kupitia
  • MyPremium.TV kwenye channel ya british europsort
  • Vile soma siganture ya mtazamaji kwenye gym yake utapata kuona ichezo mbali mbali
 
Kweli Kombe La Africa watu hawana shamrashamra nalo, ingekuwa European Cup ungeona Comment zinajaa mpaka ma Facebook mpaka mademu wasiopenda mpira wanadakia au iwe Kombe la dunia utasikia mie Spain mie sijui brazil kibao, sasa tushangilie iliyokaribu kidogo na Home Zambia kesho.
 
Wana Africa Mashariki na Kati leo Zambia watatawazwa kuwa mabingwa wapya wa soka africa. Anzeni kuandaa fataki na kambuzi. Hongera Zambia, hongera michael satta
 
Nilijua mtabiri maarufu aliisha Kufa! Kumbe mikomba yake ilipata wakuibeba!!! Soka ni mchezo wa ajabu!! Drogba atawatesa Zambia
 
ndivyo tunavyowaombea jirani zetu lkn sidhani kama itakuwa rahisi hivyo kwani kina drogba wamepania kweli kweli
 
Nilijua mtabiri maarufu aliisha Kufa! Kumbe mikomba yake ilipata wakuibeba!!! Soka ni mchezo wa ajabu!! Drogba atawatesa Zambia

Niko upande wako Mr. Reverend Father Masanilo; I bet Zambia watagongwa 2-1, lets wait and see.
 
Wana Africa Mashariki na Kati leo Zambia watatawazwa kuwa mabingwa wapya wa soka africa. Anzeni kuandaa fataki na kambuzi. Hongera Zambia, hongera michael satta

Mkuu, suppose Zambia watashinda leo then unawasha hayo mafataki yako na kanyama ka mbuzi pembeni kisha mwanao mdogo anakuuliza, ''baba, hivi timu yetu Taifa imeshinda?'' Utajibuje mkuu?
 
DAh aisee itakuwa shangwe mnoo, hasa nikiwakumbuka akina Numba Mwila, Derby Makinka, Mosses Chikwalakwala, na wengineo waliokufa kwenye ile ndege kwa kweli mungu awape nguvu washinde hilo kombe
 
Go..go Chipolopolo.If they maintain their discipline and composure as they did against Ghana the trophy is theirs for the taking..
 
Mkuu, suppose Zambia watashinda leo then unawasha hayo mafataki yako na kanyama ka mbuzi pembeni kisha mwanao mdogo anakuuliza, ''baba, hivi timu yetu Taifa imeshinda?'' Utajibuje mkuu?

jibu ni rahisi. nitamjibu ndio umemuona tenga yupo kwenye msafara wa timu yetu? Atajibu ndio. Nae atakula kambuzi.
 
Euro cup 2012,mambo yatakuwa mambo.
 
Mkuu,
suppose
Zambia watashinda leo then unawasha hayo mafataki yako na
kanyama ka mbuzi pembeni kisha mwanao mdogo anakuuliza, ''baba, hivi
timu yetu Taifa imeshinda?'' Utajibuje mkuu?
...Sisi
hatukushiriki fainal hizo,ila majirani zetu wametuwakilisha vizuri,na sasa tunafurahi kwa ajili yao,go Chipolopolo,go...
 
ajabu yake mashabiki wa chelsea watakuwa wanafavour cote de vore
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…