2012 African Cup of Nations.

Rev. Amini utabarikiwa. Wamepania watashindwa. Nitarudi hapa baada ya mchezo kwisha kukukumbusha kuwa majina hayachezi soka.

Mwambie huyo anakuwa na mautabiri ya kizamani ingekuwa majina yanacheza ghana wasingetolewa kwani wao ndo wana majina makubwa than Zambia
 
Zambia sio bingwa.Ivory coast atashinda labda zambia itokee bahati ya kipekee cuz footbal is bloody hell...but so far ukiangalia jinsi Zambia wanavyocheza hata fainali waliingia kwa bahati.Tuacha ushabiki pembeni,napenda majirani zangu washinde but i don't see this happening tonight!...Anyway good luck Zambia!
 
Zambia inaweza shinda. Ninasaka website niangalie online, mkipata naomba mnibip.
 
Haya hatimaye majirani zetu zambia leo ndio wako kwenye fainali.

Vs


Kama kawa mtazamaji akishirikiana na "watangazaji-maaandishi" watakuleata mpambano moja kwa moja...
 
IVORY COAST IMEONGOZA KUNDI LAKE KWA KUNYAKUA POIT ZOTE TISA BILA KUFUNGWA HATA BAO MOJA. NA MPAKA SASA NYAVU ZAO HAZIJATIKISWA HATA MARAMOJA KWENYA ROBO NA NUSU FAINALI. NAWATABIRIA UBINGWA.

UBORA WA IORY COAST

Group B
[TABLE="class: MsoNormalTable, width: 312"]
[TR]
[TD="width: 125"][/TD]
[TD="width: 125"] P
[/TD]
[TD="width: 125"] W
[/TD]
[TD="width: 125"] D
[/TD]
[TD="width: 125"] L
[/TD]
[TD="width: 125"] GF
[/TD]
[TD="width: 125"] GA
[/TD]
[TD="width: 125"] Pts
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 125"] Ivory C
[/TD]
[TD="width: 125"] 3
[/TD]
[TD="width: 125"] 3
[/TD]
[TD="width: 125"] 0
[/TD]
[TD="width: 125"] 0
[/TD]
[TD="width: 125"] 5
[/TD]
[TD="width: 125"] 0
[/TD]
[TD="width: 125"] 9
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 125"] Sudan
[/TD]
[TD="width: 125"] 3
[/TD]
[TD="width: 125"] 1
[/TD]
[TD="width: 125"] 1
[/TD]
[TD="width: 125"] 1
[/TD]
[TD="width: 125"] 4
[/TD]
[TD="width: 125"] 4
[/TD]
[TD="width: 125"] 4
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 125"] Angola
[/TD]
[TD="width: 125"] 3
[/TD]
[TD="width: 125"] 1
[/TD]
[TD="width: 125"] 1
[/TD]
[TD="width: 125"] 1
[/TD]
[TD="width: 125"] 4
[/TD]
[TD="width: 125"] 5
[/TD]
[TD="width: 125"] 4
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 125"] Burkina F
[/TD]
[TD="width: 125"] 3
[/TD]
[TD="width: 125"] 0
[/TD]
[TD="width: 125"] 0
[/TD]
[TD="width: 125"] 3
[/TD]
[TD="width: 125"] 2
[/TD]
[TD="width: 125"] 6
[/TD]
[TD="width: 125"] 0
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
22/01/12: Ivory Coast 1-0 Sudan, Malabo
22/01/12: Burkina Faso 1-2 Angola, Malabo

26/01/12: Sudan 2-2 Angola, Malabo
26/01/12: Ivory Coast 2-0 Burkina Faso, Malabo

30/01/12: Sudan 2-1 Burkina Faso, Bata
30/01/12: Ivory Coast 2-0 Angola, Malabo

Quarter-Finals:
1. 04/02/12: Zambia 3-0 Sudan, Bata
2. 04/02/12: Ivory Coast 3-0 Equatorial Guinea, Malabo
3. 05/02/12: Gabon 1-1 Mali (Mali win 5-4 on penalties), Libreville
4. 05/02/12: Ghana 2-1 Tunisia (AET), Franceville

Semi-Finals:
08/02/12: Zambia 1-0 Ghana, Bata
08/02/12: Mali 0-1 Ivory Coast, Libreville

3rd place play-off: Ghana 0-2 Mali, Malabo
Final: Zambia v Ivory Coast, Libreville
 
Ivory coast hajafungwa goli hata moja hadi hivi sasa.
 
Haya hatimaye majirani zetu zambia leo ndio wako kwenye fainali.

Vs


Kama kawa mtazamaji akishirikiana na "watangazaji-maaandishi" watakuleata mpambano moja kwa moja...

mtangazaji Mtazamaji!tutakuwa wote kuwaletea wenzetu matangazo live!juzi niliingia mitini shemeji yenu aliniita chumbani!teh!teh!teh
 
Chanel gani inaaonyesha hii mechi bongo na kwenye kingamuzi cha mchina
 
Tukiwa tunasubili mtanange wa fainali kati ya zambia vs ivory coast.napenda kupongeza kampuni ya kuchimba madin zambia FIRST QUANTUM jinsi ilivyodhamin mashindano haya. Nimekuwa naangalia mpira huu kupitia tv Znbc& Tv2 za zambia. Zambia wanaupenda mpira siyo sisi watz wanaopiga siasa wakti hatuziwezi.wazambia ata siasa zao ziko juu zaidi yetu. Kampun hii inaongoza kulipa kodi,kujenga barabara,kulipa mafao<nssf>. Je makampuni yaliyoko tz ya kuchimba madini yameshndwa ata kudhamini mpira?barabara ngapi na shule ngapi wamejenga?kama wameshindwa kudhamini mpira je huduma nyingine za jamii wanaweza? je wanalipa kodi?...Hawalipi! Wanajenga mashule na barabara?... Hakuna! GGM, KAHAMA MINE,BUZAGWI, North mara<nyamongo>, mwadui na nzega mine companie hawawez kudhami mashindano haya?Ushaid ni tv nilizotaja hapo juu muone wanachofanya. Kushindwa kuangalia mpira kupitia Tbc tv ya ki-tz ni kwa sababu tido mhando hayupo? Nimeuliza maswali...ni juu yenu watanzania wenzangu kujua nini kinatusibu! Nawasilisha
 
Nimekuwa naangalia hizi sherehe za kufungwa kwa Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Africa (AFCON) yanayofanyika Libreville, Gabon. Hawa jamaa wameonyesha wamejiandaa vilivyo. Wamenifurahisha sana. Hilo sio tatizo na sio kitu kilichonifanya niandike hapa. Nimejiuliza hivi sisi ikitokea maajabu ya Musa tukapata nafasi ya kuandaa haya mashindano achilia mbali uwezo wa timu yetu kushiriki, je kweli tutaweza kuyafanya yaonekane yameandaliwa vyema? Mbali na fungu litakalotoka CAF na FIFA (ingawa sina uhakika kama FIFA wanachangia), si tutachakachua kila kitu...

Inabidi tujipange kweli kweli ili nasi tuje kupata nafasi ya kuandaa mashindano kama haya ili tujitangaze ingawa sijui itatokea mwaka gani. Bado sana
 
mtangazaji Mtazamaji!tutakuwa wote kuwaletea wenzetu matangazo live!juzi niliingia mitini shemeji yenu aliniita chumbani!teh!teh!teh

Sawa sawa basi MC Tilla . usigome kutangaza kama mechi iliypita sijui timu yako ilifungwa ukakosehs wasomaji uhondo. Nadhani na Rejao atakuwepo. Na sobhuza muazisha matangazo ya afcon naye anaweza kuibuka .

Tupe nyepesi nyepesi za mechi ya leo
 
Fomeshini ya Timu inategemwa kuwa kama mchoro unavyooonyesha

TEAMS
Ivory Coast: Barry, Tiene, Kolo Toure, Bamba, Gosso, Zokora, Tiote, Yaya Toure, Gervinho, Kalou, Drogba

Zambia: Mweene, Musonda, Sunzu, Himoonde, Nkausu, Sinkala, Lungu, Chansa, Katongo, Kalaba, Mayuka
 

Attachments

  • match.jpg
    11.5 KB · Views: 15
Emmanuel mayuka aliyeipa zambia ushindi dhidi ya ghana akitokea benchi Leo anaaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…