2012 African Cup of Nations.

2012 African Cup of Nations.

Zambia have proved wamba Kufanya vizuri kwenye michez sio lazim uwe based Ulaya. Hiyo ni challnge kwa TFA ,Wizara ya michezo na wanamichezo wenyewe. Wanamichezo wa Tanzania waache bangi zisizo na kipimo. lol

sawa kabisa maana mitz ndivyo tunavyoamini hivyo..
 
hongera zambia hongera kipa mwene wewe ni shujaa wa lusaka,ila style ya kuleta kombe kichawi sikuipenda,africa bana!
 
Maneno yangu ni machache kwa sasa, HONGERENI SANA WAZAMBIA.

The whole of SADC is very very proud of you.
 
hongera zambia hongera kipa mwene wewe ni shujaa wa lusaka,ila style ya kuleta kombe kichawi sikuipenda,africa bana!

kwa hiyo kipa wa cote alipigwa kipapai nini ndio maana alikuwa hadaki nini..
 
The zambian under Michael Sata aka King Cobra! Even we as Tanzanians if we will choose/SELECT another part such as CHADEMA we will win AFCON We as TANZANIANS. TUTASHINDA AFCON ENDAPO TUKIITOA CCM MADARAKANI NA KUWAPA WAPINZANI KWA SABABU CCM NI WAOVU MNO!
ANGALIA ZAMBIA BAADA YA MICHAEL SATA KUINGIA MADARAKANI, MUNGU AMEWAONESHA WANAZAMBIA KWAMBA HUU NI MUDA WAO KUFURAHIA KWANI WALIMCHAGUA MTU AMBAYE NI MWEMA YAANI MICHAEL SATA AKA KING COBRA.
MUNGU IBARIKI ZAMBIA, MUNGU IBARIKI TANZANIA!

I just dont see the connection. Please do not CON-FUSE the two by misplacing the FUSE otherwise hutakuwa tofauti na yule Prof aliyeko mjengoni aitwaye Maji******
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Haya nextt big international sports event
Olympic London 2012 . Hivi Tanzania tunawajua hata nani wataenda Kushindana no sorry kushiriki
 
Zambia sio bingwa.Ivory coast atashinda labda zambia itokee bahati ya kipekee cuz footbal is bloody hell...but so far ukiangalia jinsi Zambia wanavyocheza hata fainali waliingia kwa bahati.Tuacha ushabiki pembeni,napenda majirani zangu washinde but i don't see this happening tonight!...Anyway good luck Zambia!

Shame on you mtu mzima. Inaonekana wewe ni mtu wa kusikia story za kijiweni na wala siyo mfuatiliaji wa soka. Pia inaonekana kuwa game za Zambia hukuwa ukizifuatilia vizuri thats why unaongea hivyo.
 
Imefanikiwa kuchukua kombe huku ikiwa imewafunga Senegal,Ghana na Ivory Coast...nimechagua timu kubwa tu km mfano kuwapongeza...Big up sana majirani zetu.
 
sawa kabisa maana mitz ndivyo tunavyoamini hivyo..

Sababu ukingalia waafrika wengi hata zambia kipaji cha soka kipo. Tofauti ndogo na wanaocheza ulaya ni tekniki tu. Tena wakikaa sana ulaya vile vipaji vyao vinapotea sababu wanakaririshwa mpirawa wa ubaoni. Hakuna k u drible wala kupiga chenga ..........

Sasa zambia vipaji wanavyo wameweka na teniki kidogo wamewachallenge Ivory coast. Hapo ukute wachezaji wa zambia huko wanakocheza hawan hizo mambo ya Diet na restrictions yamisosi gani wale ipi wasile. Sasa wakifika level hiyo watatisha zaidi.
 
sasa huyu sunzu kapanda bei Simba wasilete uswahili wamuuze kwa bei mbaya wanunue wengine...
 
Mpira sio majina!!!

Hongera Zambia. Mmeonesha kuwa penye nia pana njia. Sasa kazi kwa akina Tenga na genge lake la majambazi wajifunze toka kwa jirani zao.
 
Studiooooo kwenu............ aksateni watangazaji wetu wote balatanda ,ndeticha ,MAc Tilya na wengine walioanzisha kurusha michezo hii mwaozoni wakati bado haijapta wafuatiliaji wengi kina sobuza.......

@katavi
vipi hujafurahi zambia kuchukua kombe ............
 
Kiukweli mi ni mvivu kuangalia mpira but game ya leo kiboko, nime enjoy ile mbaya. kikubwa nimefurahi Zambia kuwa mabingwa. Ila Drogba mmmm..
 
:lol:FOR THE BRAVE NOYHING IS TOO DIFFICULT" Wakicheza kwa kujiamini bila wasiwasi wameweza kumpoteza kabisa Yaya Toure kiasi

kwamba mwl akamtoa nje, ni vijana wadogo kabisa na wakubwa kwa uchache walioamua kulitetea Taifa lao huku wakicheza nyuma

ya kumbukumbu ya vifo vya kaka zao mwaka 1993 wameweza kumuangusha tembo hawakujali majina lukuki yaliyo sheheni pale

Ivory coast Grory Grory Grory ZAMBIA.Tanzania tumekalia maneno tu na Siasa tu:A S 465:
 
Back
Top Bottom