2012 NBA All-Star Game

2012 NBA All-Star Game

russell.jpg


Nilisema dogo lazima awe MVP......
kd.jpg


durant-trophy.jpg

Kevin Durant scored 36 points to lead the West to a 152-149

Alibebwa na ushindi wa timu. La sivyo the King angeweza pia kuwa MVP.

Kwani KD alicheza vizuri quarters za kwanza na pili,huku LJ akitamba quarters mbili za mwisho.

Dwayne na Howard waliiangusha East kwani walikua nje ya mchezo sana. Huku DW akipoteza nafasi za wazi kabisa kuongoza na kutie mchezo!

Anyway,kama kawaida yao West walijisahau kwamba ule ulikua ni mchezo wa kushow off skills na kuentertain,hivyo wakacheza basic ball. East show off daima ndiyo uwafanya wafungwe sana katika all-star games.
 
Alibebwa na ushindi wa timu. La sivyo the King angeweza pia kuwa MVP.

Kwani KD alicheza vizuri quarters za kwanza na pili,huku LJ akitamba quarters mbili za mwisho.

Dwayne na Howard waliiangusha East kwani walikua nje ya mchezo sana. Huku DW akipoteza nafasi za wazi kabisa kuongoza na kutie mchezo!

Anyway,kama kawaida yao West walijisahau kwamba ule ulikua ni mchezo wa kushow off skills na kuentertain,hivyo wakacheza basic ball. East show off daima ndiyo uwafanya wafungwe sana katika all-star games.
KING gani huyo arifu? Lebron???? hakuna kiazi kama yule.....kaikosesha east ushindi mwishoni alikuwa na uwezo wa kupiga 3 yeye akambwela mbwela..ile game walikuwa wanashinda....
 
KING gani huyo arifu? Lebron???? hakuna kiazi kama yule.....kaikosesha east ushindi mwishoni alikuwa na uwezo wa kupiga 3 yeye akambwela mbwela..ile game walikuwa wanashinda....

We kimjamaa unafuatilia sana mambo ya US....pole sana!

Vumbi vipi leo? Au mvua imesaidia?
 
KING gani huyo arifu? Lebron???? hakuna kiazi kama yule.....kaikosesha east ushindi mwishoni alikuwa na uwezo wa kupiga 3 yeye akambwela mbwela..ile game walikuwa wanashinda....

Arifu unamwita Lebron kiazi?! Duh!

Kweli East wangeweza kushinda. Lakini huwezi kumlaumu LJ kwa kuikosesha ushindi East. Kwani Dwayne,nafikiri wakati matokeo yakiwa 148 kwa 147 alipata nafasi ya kuifanya East iwe mbele kwa point 1, lakini akashindwa kucontrol pasi toka kwa LJ hivyo mpira kutoka nje!

Lakini kiujumla,kama nilivyosema awali,Dwayne na Howard walichangia sana East kufungwa. Kwani kama Dwayne Wade na Dwight Howard wangekua na moto kama wa Lebron James,hakika Kobe,Durant na Griffin wasingeshinda.
 
jicho langu kwa west tu,kweli odom kaingizwa mkenge na mkewe
 
Alibebwa na ushindi wa timu. La sivyo the King angeweza pia kuwa MVP.

Kwani KD alicheza vizuri quarters za kwanza na pili,huku LJ akitamba quarters mbili za mwisho.

Dwayne na Howard waliiangusha East kwani walikua nje ya mchezo sana. Huku DW akipoteza nafasi za wazi kabisa kuongoza na kutie mchezo!

Anyway,kama kawaida yao West walijisahau kwamba ule ulikua ni mchezo wa kushow off skills na kuentertain,hivyo wakacheza basic ball. East show off daima ndiyo uwafanya wafungwe sana katika all-star games.

KD anastahili kuwa MVP na huenda akaja akaanza kubeba ring kabla ya LJ ,Thunder wanakuja vizuri sana hasa Ibaka,KD na Westbrook
 
KD anastahili kuwa MVP na huenda akaja akaanza kubeba ring kabla ya LJ ,Thunder wanakuja vizuri sana hasa Ibaka,KD na Westbrook

Mkuu ring kitu kingine. Inahitaji consistency ya msimu mzima. LJ ameweza kuwa consistent toka ameingia NBA. Iwe katika msimu,hadi katika playoffs.

KD ni mzuri sana pia,lakini kwa sasa hawezi kum-out shine LJ. Asubiri mpaka muda wa LJ utakapoisha.
 
kwa maoni yangu dunk contents ya mwaka huu hamna jipya...zaidi ya huyu dogo ka dunk giza 360 windmil

yeah for sure.am a bit disappointed na contenst ya mwaka huu kwakweli.hamna jipya kabisa.wamechezea usingizi wangu tu!!:disapointed:
 
Mkuu ring kitu kingine. Inahitaji consistency ya msimu mzima. LJ ameweza kuwa consistent toka ameingia NBA. Iwe katika msimu,hadi katika playoffs.

KD ni mzuri sana pia,lakini kwa sasa hawezi kum-out shine LJ. Asubiri mpaka muda wa LJ utakapoisha.
OKlahoma wanaweza kuchukua ring na sio Miami......bilivu mi KD atavaa ring kabla ya Lebron......
 
We kimjamaa unafuatilia sana mambo ya US....pole sana!

Vumbi vipi leo? Au mvua imesaidia?
Naishi kimarekani,nafanya shopping supermarket,nakula vyakula vya makopo,navaa kimarekani ila sio mlegezo hata mashoree wangu sio washamba washamba nachukua mashoree wenye haiba ya kimamtoni arifu......kwa kifupi my heart ipo majuu.....vipi ile show yako ya Kadarshian imefikia wapi?
 
Naishi kimarekani,nafanya shopping supermarket,nakula vyakula vya makopo,navaa kimarekani ila sio mlegezo hata mashoree wangu sio washamba washamba nachukua mashoree wenye haiba ya kimamtoni arifu......kwa kifupi my heart ipo majuu.....vipi ile show yako ya Kadarshian imefikia wapi?

I'm not into fake reality shows.

Talk to me about the Dow Jones and stuff like that...not these silly and ridiculous TV shows
 
OKlahoma wanaweza kuchukua ring na sio Miami......bilivu mi KD atavaa ring kabla ya Lebron......

Arifu hata playoffs bado! Ingawa Oklahoma wana nafasi kubwa ya kuingia playoffs hawawezi kuitoa Lakers katika conference final.

I can see a Lakers vs Heat show down in the Finals. And this time the King gonna outplay the Mamba.

Keep my words.
 
Nawaomba Mods mtuwekee NBA kama sticky ioli wapenzi wa basketball pia tuweze kubadilishana experiences
 
Back
Top Bottom