Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hiz ndugu yangu kuitunza turbo sio Kaz. Kwenye turbo Kuna pipe anayopeleka oil kwenye hiyo turbo sasa ndan ya hiyo pipe Kuna filter ndogo saaana ambapo kutokana na oil zetu za kibongo hiyo filter huwa unakaa uchafu na kuziba na matokeo yake n turbo kutopata oil then inakufa!! Ndio maana watu wanadai ikishakufa turbo ya kwanza hakuna turbo ya kudumu!! Shida Iko hapo!! Suluhu ya hilo n kutoa hiyo filter then dunda uwezavo zitangatia service tumia oil sahihiConsumption is not the same. Na pia turbo ni ngumu kumaintain especially kwa watu ambao si wazoefu sana wa magari au hawazingatii service. So wanaochukua non turbo nao si wajinga
Kwa nini unaulizia maajabu? Au niseme inategemea unalingajisha na gari gani. Kama ni dhidi ya xtrail, basi gearbox, AWD system yake, ni reliable zaidi. Kama unatafuta maajabu kwa ujumla kwenye huu uzi basi hauko sehemu sahihi.Subaru sijui Ina maajabu gani?