Hi all,
Hii itakuwa ni mara yetu ya tatu mfululizo kufanya mkutano/kikao hiki pale Lunch Time Hotel, iliyopo along Mandela Road opposite na Mabibo Hostel.
Tunaita Chai day kwa sababu huwa tunakutana kujadiliana mambo muhimu tukiwa ktk kundi la watu wenye umri tofauti,ili kukipa kikao heshima huwa tunakunywa chai, kahawa,maji, juisi ktk muda wote tunaokata hoja. Tunaogopa maji ya Ilala kwa sababu wengine huwafanya wahame station.
Kundi hili linafanya uwekezaji kwa kuotesha miti ya mbao na boriti ( kilimotz@googlegroups.com),ni kundi la hiari na halina kiingilio, kiingilio ni nguvu zako. Agenda kuu ni kama zifuatazo; kundi/wadau kuingia ktk biashara ya hewa ya ukaa na nini cha kufanya;baada ya mafanikio yetu nini kinafuata;Changamoto za uwekezaji huu kwa sasa; Je ni wakati mwafaka sasa kwa kundi letu kuomba shavu la serikali?, AOb ni agenda ya mwisho.
Mkutano utafanyika February 2013, tarehe itafahamika mara baada ya kumpata mtalaamu toka SUA ili aje ashushe darasa kuhusiana na biashara ya hewa ya Ukaa. Kila mjumbe itabidi aje na Tsh 20,000/ kwa ajili ya ukumbi. Kwa wale ambao hawajawahi kuwekeza ktk kilimo hiki na wanataka kufanya hivyo mnakaribishwa siku hiyo.
Hili ni moja ya makundi yaliyofanikiwa kwa njia ya kuunganisha nguvu na hatimaye wengi wamefanikiwa kufikia malengo awamu ya kwanza.
Hii itakuwa ni mara yetu ya tatu mfululizo kufanya mkutano/kikao hiki pale Lunch Time Hotel, iliyopo along Mandela Road opposite na Mabibo Hostel.
Tunaita Chai day kwa sababu huwa tunakutana kujadiliana mambo muhimu tukiwa ktk kundi la watu wenye umri tofauti,ili kukipa kikao heshima huwa tunakunywa chai, kahawa,maji, juisi ktk muda wote tunaokata hoja. Tunaogopa maji ya Ilala kwa sababu wengine huwafanya wahame station.
Kundi hili linafanya uwekezaji kwa kuotesha miti ya mbao na boriti ( kilimotz@googlegroups.com),ni kundi la hiari na halina kiingilio, kiingilio ni nguvu zako. Agenda kuu ni kama zifuatazo; kundi/wadau kuingia ktk biashara ya hewa ya ukaa na nini cha kufanya;baada ya mafanikio yetu nini kinafuata;Changamoto za uwekezaji huu kwa sasa; Je ni wakati mwafaka sasa kwa kundi letu kuomba shavu la serikali?, AOb ni agenda ya mwisho.
Mkutano utafanyika February 2013, tarehe itafahamika mara baada ya kumpata mtalaamu toka SUA ili aje ashushe darasa kuhusiana na biashara ya hewa ya Ukaa. Kila mjumbe itabidi aje na Tsh 20,000/ kwa ajili ya ukumbi. Kwa wale ambao hawajawahi kuwekeza ktk kilimo hiki na wanataka kufanya hivyo mnakaribishwa siku hiyo.
Hili ni moja ya makundi yaliyofanikiwa kwa njia ya kuunganisha nguvu na hatimaye wengi wamefanikiwa kufikia malengo awamu ya kwanza.